Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa TLS Dkt. Edward Hosea na mwenzake wamwaga fulana kwa wajumbe

Yaliyojiri Uchaguzi Mkuu wa TLS Dkt. Edward Hosea na mwenzake wamwaga fulana kwa wajumbe

Mdau
Nakusalimu.

Jana nilipata nafasi kueleza nilichokiona na kinachojiri hapa jijini arusha baada ya kuwaona watu kadhaa wakiwa wamevaa t-shirt zenye picha na maandishi yakihusiana na uchaguzi.

Leo nimepata nafasi kufika eneo la tukio kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa AICC, japo nimekuta wamemaliza kupiga kura ila nitawajuza kila kitu kinachojili kwa wakati huo.

Picha zitakuwepo za kutosha kila hatua nitakayoweza kuifikia.

UPDATES: Picha hizi hapa chini nimepata kutoka kwa mdau.

IMG_20210416_140243_884.jpg

Dkt. Edward Hosea ambaye ni mgombea wa nafasi ya urais akipiga kura mapema leo asubuhi.

IMG_20210416_140249_212.jpg

Mwanasheria Albert Msando ambaye ni miongoni mwa wagombea wa nafasi ya urais akipiga kura.


UPDATES.
Hapa ndani naona wadau au wanasheria ni wachache sana waliohudhuria mkutano na uchaguzi huu kwa mwaka 2021.
IMG_20210416_141841.jpg


Kwa sasa wanatajwa washindi wa mikoa kwa nafasi zao, ila kinachosikitisha ni baadhi ya wagombea wa nafasi ya urais kukata tamaa mapema kabla ya kutangazwa majina yao, picha zinaonyesha kila kitu hapa chini...

IMG_20210416_162335.jpg


IMG_20210416_162258.jpg


Kati ya hao wenye huzuni naona hawa hapa chini wapo busy kufuatilia kinachojili kwenye mitandao kupitia simu zao hasa kupata taarifa kutoka kwa mawakala wao.

IMG_20210416_162320.jpg

IMG_20210416_163713.jpg


IMG_20210416_162320.jpg


Toka mwanzo nilisema waudhuliaji na wapiga kura ni wachache sana, waliojiandikisha 5236 na waliopiga kura ni 802 hali inayoonyesha upungufu mkubwa sana kwenye uhudhuliaji.
 
Mdau
Nakusalimu.

Jana nilipata nafasi kueleza nilichokiona na kinachojiri hapa jijini arusha baada ya kuwaona watu kadhaa wakiwa wamevaa t-shirt zenye picha na maandishi yakihusiana na uchaguzi.

Leo nimepata nafasi kufika eneo la tukio kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa AICC, japo nimekuta wamemaliza kupiga kura ila nitawajuza kila kitu kinachojili kwa huo.

Picha zitakuwepo za kutosha kila hatua nitakayoweza kuifikia...
Tunasubiria updates
 
Enzi za mwendazake kungakua na vurugu, vitisho na kupeana kashfa zisizo na msingi. Nimemkumbuka Dk Mwakyembe
 
Mdau
Nakusalimu.

Jana nilipata nafasi kueleza nilichokiona na kinachojiri hapa jijini arusha baada ya kuwaona watu kadhaa wakiwa wamevaa t-shirt zenye picha na maandishi yakihusiana na uchaguzi.

Leo nimepata nafasi kufika eneo la tukio kwenye ukumbi wa mikutano wa kimataifa AICC, japo nimekuta wamemaliza kupiga kura ila nitawajuza kila kitu kinachojili kwa wakati huo.

Picha zitakuwepo za kutosha kila hatua nitakayoweza kuifikia.

UPDATES: Picha hizi hapa chini nimepata kutoka kwa mdau.

View attachment 1753556
Dkt. Edward Hosea ambaye ni mgombea wa nafasi ya urais akipiga kura mapema leo asubuhi.

View attachment 1753558
Mwanasheria Albert Msando ambaye ni miongoni mwa wagombea wa nafasi ya urais akipiga kura.

Mzee wa madole anapoteza muda tu.
 
giggy money yupo? nimemuona msando kwa pembeni
 
Back
Top Bottom