Nilijua anashabikia mikia fcDanny ni 4g
Mkuu huyu mnazi wa watoto wa abroadUpo timu gani mkuu ?
Timu ya Wananchi wa Taifa huru la Tanzania wapigania uhuru na timu teule kutoka juu mbinguni Yanga African Sports ClubUpo timu gani mkuu ?
Yanga 0 - 0 Mikia fcNgoma ngapi ngapi
Vp ball possession nani yupo juu ?Dah tumekoswa tena. Thank you dida
Simba ila hajamzidi sana YangaVp ball possession nani yupo juu ?
Nawewe upo kijan auTutashinda tu kwani shin ngapi bwana????
Team yenye uzoefu wa kupanda ndege mkuuNawewe upo kijan au
Aahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23]Kona kuelekea simba Wenye pumbu tubane Yanga ashinde
huko tumebet mkuu na game inaanza saa 5 kamili. Man u aahinde japo sio timu yanguHuu mpira gani sasa..butubutu tu duh haufai hata kupoteza usingizi kwa mpira kama huu,Hivi game ya Man utd saa ngapi maana wazungu wanatuzidi kila kitu.