Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mikia wana rekodi ipi hasa!?Leo ni nusu fainali iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa katika Kombe la Mapinduzi ambayo inawakutanisha watani wa jadi, Yanga na Simba.
Mechi inachezwa saa mbili usiku kwenye Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar.
Kimuhemuhe ni kikubwa sana kwa mashabiki wa Simba kutokana na rekodi ya timu yao.Mashabiki wengi wa Simba wamepanda boti kuelekea Zenji kwa ajiri ya kuipa nguvu timu yao. Kwa upande wa Yanga mashabiki wamebaki kulaumiana kutokana na kumbukumbu mbaya ya Kipigo cha "Mama mkanye Mwanao" ilichopokea vizuri kwa roho safi toka Azam FC
Mtangazaji wenu nitawaletea moja kwa moja matumikio muhimu kabla,wakati wa mechi na baada ya mtanange
Usiondoke
Wamatopeni ni Wamatopeni tu subiri muda utaongea.Kwani mikia wana rekodi ipi hasa!?
Naona unacheza na koki,koki ya Simba INA hamu sana ya kuwamwagia wazungu weupe,sasa plz kausha mkuuKwani mikia wana rekodi ipi hasa!?
Saa 2:15 usiku,kupitia Azam TvMuda wa mechi tafadhali
Umejikaza na kijitokeza,nakutakia kipigo chema,jitahidi sana kubana pum.bu Mzamiru anapishika mpira maeneo ya hatariHatuchezi kwa kuangalia historia, tutacheza dakika 90. Yanga daima mbele, nyuma mwiko. Ushindi leo lazima.
#teamyangaforever#tunajiamini#
Baada ya dakika 90 naomba uje tena hapa usome hiyo kauli yako.Mikia watachezea koki kama kawaida
Wamehodhi kama faru John au!!??Azam Tv wamehodhi kila kitu ndugu. Halafu wanauza vingamuzi vyao kwa bei isiyo Rafiki kabisa.