Yaliyojiri Uwanja wa Aman: Simba SC Vs Yanga,Kombe la Mapinduzi 10/1/2017

Yaliyojiri Uwanja wa Aman: Simba SC Vs Yanga,Kombe la Mapinduzi 10/1/2017

Watoto wa Jangwani leo lazma bomba liwaloweshe kama kawaida yao..! Simba Nguvu Moja
 
Leo ni nusu fainali iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu kubwa katika Kombe la Mapinduzi ambayo inawakutanisha watani wa jadi, Yanga na Simba.
Mechi inachezwa saa mbili usiku kwenye Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar.

Kimuhemuhe ni kikubwa sana kwa mashabiki wa Simba kutokana na rekodi ya timu yao.Mashabiki wengi wa Simba wamepanda boti kuelekea Zenji kwa ajiri ya kuipa nguvu timu yao. Kwa upande wa Yanga mashabiki wamebaki kulaumiana kutokana na kumbukumbu mbaya ya Kipigo cha "Mama mkanye Mwanao" ilichopokea vizuri kwa roho safi toka Azam FC

Mtangazaji wenu nitawaletea moja kwa moja matumikio muhimu kabla,wakati wa mechi na baada ya mtanange

Usiondoke
Kwani mikia wana rekodi ipi hasa!?
 
Leo mtibwa sugar lazima ishinde, maana Thobias kifaru namkubali sana
 
Refa katoka wapi? Maana mikia waliwahi sema hawachezi na Yanga hadi refa atoke nje ya nchi
 
Hatuchezi kwa kuangalia historia, tutacheza dakika 90. Yanga daima mbele, nyuma mwiko. Ushindi leo lazima.

#teamyangaforever#tunajiamini#
 
Hatuchezi kwa kuangalia historia, tutacheza dakika 90. Yanga daima mbele, nyuma mwiko. Ushindi leo lazima.

#teamyangaforever#tunajiamini#
Umejikaza na kijitokeza,nakutakia kipigo chema,jitahidi sana kubana pum.bu Mzamiru anapishika mpira maeneo ya hatari
 
Simba nipigie hao watoto mapema tukapumzike.. ..
Simba 3 yanga 1.
 
Back
Top Bottom