Mkuu acha tu nimemcheka wanayanga hapa mtaani nimeambulia kipigo balaaDaaaaaa yanga bana wamefana watu wapigane hapa mtaani kwangu usiku huu
Hijazimia tu kwa 4G, pole ndo maishaAsante Yondani,almanusra nizimie...daaaah!
Kwa hasira zako izo, utakua shabiki wa yanga wewe [emoji1] [emoji1] [emoji1]Vipi shule bado hazijafunguliwa? Au nyie ndio mliorudisha Handset kwa wazazi mkakimbia na Line
Punguza jazba. Si umehamia Azam?Sisi tunasheherekea ushindi. Wewe unakesha kwa sababu gani?Maumivu???Ila mikia muwe mnaona aibu, bonanza nalo ni la kusheherekea, mpaka na kukesha? Give me a break...
Yanga 0 - 0 Mikia fc
Nyie mnapendaga nne tu jamani!!! [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ila mikia muwe mnaona aibu, bonanza nalo ni la kusheherekea, mpaka na kukesha? Give me a break...
Refa wetu yule martin saanya angechechezesha tungeshinda tu leo
Kuna boti hazijaondoka badoHaya kina mama hongera kwa ushindi
Mwambie huyo kama bonanza wangepeleka timu Zenji?Punguza jazba. Si umehamia Azam?Sisi tunasheherekea ushindi. Wewe unakesha kwa sababu gani?Maumivu???
Mkuu.. huyo ni shabiki wa ndala kindakindaki.Kwa hasira zako izo, utakua shabiki wa yanga wewe [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Nakuomba ulale mama tafadhali sana,oga ulaleIla mikia muwe mnaona aibu, bonanza nalo ni la kusheherekea, mpaka na kukesha? Give me a break...
Hahhahaa tulia sindano iingie vizuriI'm very disappointed to day,we loose the game but we are still comfortable we are waiting for the VPL,
Penati wamefungwa Argentina tena na Chille alafu ilikua Fainali ya Pesa nyingi,Leo kufungwa Yanga ndio mmeona maajabu,tuacheni na Yanga yetu,
Ila hii rangi ya kijani na manjano ni hatari,tukipataga ushindi huwa ni wakishindo Ila tukishindwa napo huwa ni kipigo cha kishindo
Ushindi wa penati ni ushindi wa kipumbavu,
Umenimiss eeh Ngarna unataka turudishe enzi eeh. Bonanza linipe hasira for what?. Azam hiyooo tumoooooPunguza jazba. Si umehamia Azam?Sisi tunasheherekea ushindi. Wewe unakesha kwa sababu gani?Maumivu???
Tena tatizo kubwa la kunyonya damu mgonjwa kwenye 4G syndrome mpaka kamsababishia kupata secondary illness ya 8G sydrome..dahh mnyama hatari..Ukiona mtu anafurahi ushindi wa pernat a.k.a rede ujue huyo anatatizo