Yaliyojiri Uwanja wa Aman: Simba SC Vs Yanga,Kombe la Mapinduzi 10/1/2017

Yaliyojiri Uwanja wa Aman: Simba SC Vs Yanga,Kombe la Mapinduzi 10/1/2017

Nilichokigundua ni kwamba mikia fc wanaona kama ngekewa tu kupita mana comments zao ni km hawaamini kilichotokea
 
Nilichokigundua ni kwamba mikia fc wanaona kama ngekewa tu kupita mana comments zao ni km hawaamini kilichotokea
 
Umenimiss eeh Ngarna unataka turudishe enzi eeh. Bonanza linipe hasira for what?. Azam hiyooo tumooooo

“Sizitaki mbichi hizi” Sungura akagumia,
“Naona nafanya kazi, bila faida kujua”,
Yakamtoka machozi matunda akalilia,
Matunda akalilia, Sungura nakuambia.


Sio kama hakutaka, sasa nakupasulia,
Matunda aliyataka, ndiyo kisa akalia
Tunajua hakufika, alichoka kurukia,
Alichoka kurukia, Sungura nakuambia.


Hadithi nimemaliza, nimekwisha simulia,
Jambo moja sikiliza, rafiki yangu sikta,
Usikose kujikaza, mazuri kukazania,
Utamshinda Sungura, utapata mbivu hizi.
 
Mchawi anayeiroga yanga kupitia namba 4 ni mbaya sana kuliko shetani, yanga kafungwa 4 na Azam yenye herufi 4, baada ya siku 4, leo kafungwa 4 na Simba, tena saa 4 usiku, siku ya juma 4,

[emoji2][emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Umesahau Kuwa Pia 4G FC wana Goal defference 4+.......
 
Ila mikia muwe mnaona aibu, bonanza nalo ni la kusheherekea, mpaka na kukesha? Give me a break...


KinachoMatter Si aina Ya Kombe Tulilocheza! Bali Kinachomatter ni Mambo 2:-

1) Kile Kitendo Kumla Kiboga YeboYebo....
2) Trophy ni Trophy tu Hata iwe ni Ni Ya thamani Ndogo Kiasi Gani... As long as inawekwa Katika Rekodi Za Klabu Basi Ni Muhimu Kwetu....

Unazarau Bonanza, Lakini Huko Kwakimataifa Trophy ni Zero+ 😀😀 .....
 
Kwahyo yanga sa hvi wana Gb 20 za Tigo maana si wamebadil line za 4g mara mbili
 
“Sizitaki mbichi hizi” Sungura akagumia,
“Naona nafanya kazi, bila faida kujua”,
Yakamtoka machozi matunda akalilia,
Matunda akalilia, Sungura nakuambia.


Sio kama hakutaka, sasa nakupasulia,
Matunda aliyataka, ndiyo kisa akalia
Tunajua hakufika, alichoka kurukia,
Alichoka kurukia, Sungura nakuambia.


Hadithi nimemaliza, nimekwisha simulia,
Jambo moja sikiliza, rafiki yangu sikta,
Usikose kujikaza, mazuri kukazania,
Utamshinda Sungura, utapata mbivu hizi.
Kiongoz una memory 16 GB hill shairi LA end,I sana. Malapa linawafaa sana kusikiliza. Walipofunga LA .mkono walshangilia. 4g wanasema eti ni penalty tu hzo. ZIMEPIGWA NJE YA MCHEZO? ETI BONANZA... KWANN MSIACHE? KWANN MSEME ETI MMEZOEA KUMFUNGA MNYAMA NA HUKO MTAFUNGA? Acheni maneno ya mkosaji Simba ni timu bora kuliko zote Tz.
 
Kiongoz una memory 16 GB hill shairi LA end,I sana. Malapa linawafaa sana kusikiliza. Walipofunga LA .mkono walshangilia. 4g wanasema eti ni penalty tu hzo. ZIMEPIGWA NJE YA MCHEZO? ETI BONANZA... KWANN MSIACHE? KWANN MSEME ETI MMEZOEA KUMFUNGA MNYAMA NA HUKO MTAFUNGA? Acheni maneno ya mkosaji Simba ni timu bora kuliko zote Tz.
Usikute wanajipanga kukata rufaa kupinga penati na Bukungu kwamba hakuwa na nia njema!! Watakubali tu.
 
Back
Top Bottom