Mziwandawamama
JF-Expert Member
- Apr 13, 2015
- 1,303
- 939
Nilichokigundua ni kwamba mikia fc wanaona kama ngekewa tu kupita mana comments zao ni km hawaamini kilichotokea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia Mrembo, hii ndo SimbaNilichokigundua ni kwamba mikia fc wanaona kama ngekewa tu kupita mana comments zao ni km hawaamini kilichotokea
Umenimiss eeh Ngarna unataka turudishe enzi eeh. Bonanza linipe hasira for what?. Azam hiyooo tumooooo
Mmmh! 4G.Tutasubiri mpambano huu, tunaingiza timu tukiwa na majeruhi wengi lakini Simba msitegemee ushindi.
Ila nipo vizuri katika utabiriSimba nipigie hao watoto mapema tukapumzike.. ..
Simba 3 yanga 1.
Hill nalinenoBONANZA. BONANZA. BONANZA...... mashindano ya kuwafurahisha wazanzibar waamini kuna Muungano
Mchawi anayeiroga yanga kupitia namba 4 ni mbaya sana kuliko shetani, yanga kafungwa 4 na Azam yenye herufi 4, baada ya siku 4, leo kafungwa 4 na Simba, tena saa 4 usiku, siku ya juma 4,
yaani ushindi wa kike mnaongeeeeea.
Ila mikia muwe mnaona aibu, bonanza nalo ni la kusheherekea, mpaka na kukesha? Give me a break...
four8 mkuukweli sisi yanga wa 4G nikufungwa tu na kila team tunayokutana nayo mfano Azam wametufunga nne na tumepewa jila la 4G sasa simba akitufunga sijui tutaitwaje?
acha maneno weka muzikiNilichokigundua ni kwamba mikia fc wanaona kama ngekewa tu kupita mana comments zao ni km hawaamini kilichotokea
Mkuu Freeland kwa akili ipi binti huyo wa masama analalama ni akili ya mbege au kisusio?Au aliona ikiingia?Muulize vizuri.acha maneno weka muziki
Kiongoz una memory 16 GB hill shairi LA end,I sana. Malapa linawafaa sana kusikiliza. Walipofunga LA .mkono walshangilia. 4g wanasema eti ni penalty tu hzo. ZIMEPIGWA NJE YA MCHEZO? ETI BONANZA... KWANN MSIACHE? KWANN MSEME ETI MMEZOEA KUMFUNGA MNYAMA NA HUKO MTAFUNGA? Acheni maneno ya mkosaji Simba ni timu bora kuliko zote Tz.“Sizitaki mbichi hizi” Sungura akagumia,
“Naona nafanya kazi, bila faida kujua”,
Yakamtoka machozi matunda akalilia,
Matunda akalilia, Sungura nakuambia.
Sio kama hakutaka, sasa nakupasulia,
Matunda aliyataka, ndiyo kisa akalia
Tunajua hakufika, alichoka kurukia,
Alichoka kurukia, Sungura nakuambia.
Hadithi nimemaliza, nimekwisha simulia,
Jambo moja sikiliza, rafiki yangu sikta,
Usikose kujikaza, mazuri kukazania,
Utamshinda Sungura, utapata mbivu hizi.
Usikute wanajipanga kukata rufaa kupinga penati na Bukungu kwamba hakuwa na nia njema!! Watakubali tu.Kiongoz una memory 16 GB hill shairi LA end,I sana. Malapa linawafaa sana kusikiliza. Walipofunga LA .mkono walshangilia. 4g wanasema eti ni penalty tu hzo. ZIMEPIGWA NJE YA MCHEZO? ETI BONANZA... KWANN MSIACHE? KWANN MSEME ETI MMEZOEA KUMFUNGA MNYAMA NA HUKO MTAFUNGA? Acheni maneno ya mkosaji Simba ni timu bora kuliko zote Tz.
😀😀 😀 [emoji12] [emoji12][emoji12]Wanzazibari wanamaneno wanasema Yanga Afirika.