Lucky One
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 663
- 431
Mkuu acha tu nimemcheka wanayanga hapa mtaani nimeambulia kipigo balaaDaaaaaa yanga bana wamefana watu wapigane hapa mtaani kwangu usiku huu
[emoji22] [emoji22] [emoji22]
Ushauri wa bure : hakikisha unacompany unapowatania watani wanahasira balaa