Yaliyojiri Uwanja wa Aman: Simba SC Vs Yanga,Kombe la Mapinduzi 10/1/2017

Ila mikia muwe mnaona aibu, bonanza nalo ni la kusheherekea, mpaka na kukesha? Give me a break...
He he he..! Kumbe unakimbia huna break[emoji590] [emoji613] [emoji614] [emoji577] ???
 
hahahaha! hawa Manama bwana! walishazoe kutandikwa 4 na Leo tens wakaona kupigwa kamoja siyo vizuri, hatimaye wamepigwa 4 tena.

Mungu awatangulie kwa safari yenu ya kurudi Dar
 
Pole sana chief,
 
Mlale nyie watu wazima, wa kusherekea nusu fainali ya bonanza. Halafu mkakimbia hamjiamini, bonanza limeisha mmerudi. Ila ndio size yenu mabonanza.
Na ukizidi kuongea sana VPL nitakufunga 7,bora unyamaze nikufunge 2 tu
 
Aunt Ezekiel ni nani katika taifa hili?Akampikie Mose Iyobo akanengue majukwaani wapate kula [emoji57]
Unaonaje usiku huu kwenye zile pande 4 nikupe 4G zingine tamu na nzuri Mujarabuuuu..hahaha najua faraja yko ipo pale emirates kwa mzee wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…