bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,689
He he he..! Kumbe unakimbia huna break[emoji590] [emoji613] [emoji614] [emoji577] ???Ila mikia muwe mnaona aibu, bonanza nalo ni la kusheherekea, mpaka na kukesha? Give me a break...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
He he he..! Kumbe unakimbia huna break[emoji590] [emoji613] [emoji614] [emoji577] ???Ila mikia muwe mnaona aibu, bonanza nalo ni la kusheherekea, mpaka na kukesha? Give me a break...
Mlale nyie watu wazima, wa kusheherekea nusu fainali ya bonanza. Halafu mkakimbia hamjiamini, bonanza limeisha mmerudi. Ila ndio size yenu mabonanza.Nakuomba ulale mama tafadhali sana,oga ulale
Bantu lady mikia hatari we iache tu isije ikakusababishia mengine VplIla mikia muwe mnaona aibu, bonanza nalo ni la kusheherekea, mpaka na kukesha? Give me a break...
Atakuwa wa upande ule wa 4GHuyu mtoa post mbona hutupi tena live!
Visiwani hakuna rushwa kama bara. Watu bado wana muogopa Mungu. Marefa hawachukui rushwaNataman mechi za VPL, zipigwe znz maana 4G iko vzr kule
Pole sana chief,I'm very disappointed to day,we loose the game but we are still comfortable we are waiting for the VPL,
Penati wamefungwa Argentina tena na Chille alafu ilikua Fainali ya Pesa nyingi,Leo kufungwa Yanga ndio mmeona maajabu,tuacheni na Yanga yetu,
Ila hii rangi ya kijani na manjano ni hatari,tukipataga ushindi huwa ni wakishindo Ila tukishindwa napo huwa ni kipigo cha kishindo
Ushindi wa penati ni ushindi wa kipumbavu,
Hizi ni dalili za kudata,umeanza kuongea peke yako!!!!!Aunt Ezekiel ni nani katika taifa hili?Akampikie Mose Iyobo akanengue majukwaani wapate kula [emoji57]
Na ukizidi kuongea sana VPL nitakufunga 7,bora unyamaze nikufunge 2 tuMlale nyie watu wazima, wa kusherekea nusu fainali ya bonanza. Halafu mkakimbia hamjiamini, bonanza limeisha mmerudi. Ila ndio size yenu mabonanza.
Mimi naelewa unavyojisikia. Kufungwa kunauma sana kuwe kwa kike au kiume. Usipotulia baada ya kufungwa unaweza andika maneno yasiyokuwa na mantikiyaani ushindi wa kike mnaongeeeeea.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kocha ajiandae kufukuzwa
Aunt Ezekiel ni nani katika taifa hili?Akampikie Mose Iyobo akanengue majukwaani wapate kula [emoji57]
Unaonaje usiku huu kwenye zile pande 4 nikupe 4G zingine tamu na nzuri Mujarabuuuu..hahaha najua faraja yko ipo pale emirates kwa mzee wetuAunt Ezekiel ni nani katika taifa hili?Akampikie Mose Iyobo akanengue majukwaani wapate kula [emoji57]