residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Mnatafutia soko bidhaa gani?unabeza style ya marketing[emoji3][emoji3]
Lazima mje kulia mmeibiwa kura...
Mnatafutia soko bidhaa gani?
Mwaka juzi nikiwa huko nyumbani,nilienda shambani Kerege,nikashangaa nakutana na kundi kubwa la wananchi wamezunguka gari,nikauliza kulikoni,nikaambiwa ni sabuni ya foma wanafanya marketing.
Ndicho mnachofanya?
Hivi akienda bila TAMASHA inakuwaje?Leo kishindo cha awamu ya tano ambacho ni kishindo cha wasanii kitakuwepo uwanja wa Sabasaba Kambarage ambapo mgombea wa CCM ndugu John Pombe atakuwa jukwaani kunadi sera zake huku wasanii nane akiwemo Sholo Mwamba ambaye amempa shule kabambe ndugu Magufuli kucheza kiduku watakuwepo kutoa burudani ya hapa na pale.
Hizi kampeni bwana!
Imagine ndani ya mji mmoja anaanza Hashim Rungwe mnapiga bweche mnashiba, anafuatia Tundu Lissu mnakula madini na kisha anamalizia John Magufuli mnakula burudani kisha mnarudishwa makwenu.
Kwa hakika ingekuwa ni mserereko. NEC sikieni kilio chetu hiki kuhusu ratiba.
Burudani kwa wote!
Leo kishindo cha awamu ya tano ambacho ni kishindo cha wasanii kitakuwepo uwanja wa Sabasaba Kambarage ambapo mgombea wa CCM ndugu John Pombe atakuwa jukwaani kunadi sera zake huku wasanii nane akiwemo Sholo Mwamba ambaye amempa shule kabambe ndugu Magufuli kucheza kiduku watakuwepo kutoa burudani ya hapa na pale.
Hizi kampeni bwana!
Imagine ndani ya mji mmoja anaanza Hashim Rungwe mnapiga bweche mnashiba, anafuatia Tundu Lissu mnakula madini na kisha anamalizia John Magufuli mnakula burudani kisha mnarudishwa makwenu.
Kwa hakika ingekuwa ni mserereko. NEC sikieni kilio chetu hiki kuhusu ratiba.
Burudani kwa wote!
Akina nani walimpiga Lissu risasi?Madini gani anayolisha Lissu? Kusema kwamba migambo wamuulize amiri jeshi mkuu jeshi la akiba ni kwa mujibu wa sheria gani?
Du balaa tupuAkina nani walimpiga Kissu risasi?
Hata chizi hajitokeziBila wasanii CCM hawapati mtu.
ULITAKA UIBE TUCHEKELEEE TU KWENYE NCHI YA WATU MILIONI 60 WAKIFA KUMI NAYO NI HABARI ULIZA CHINA WANAKUFA WANGAPI MAJAMBAZI HAKUNA TZ ? MWISHO MTATAKA SERIKALI ILINDE WAKE ZENU WASITONGOZWE KUWENI WASTAARABU NCHI GANI EAST AFIRCA ILIYOTULIA KAMA TZ ?Watanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.
Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,.
Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.
Huyu mtu hatufai kabisa.
Wee huwezi kuyaona wala kusikia kwa kuwa kifikra ulishakufaMadini gani anayolisha Lissu? Kusema kwamba migambo wamuulize amiri jeshi mkuu jeshi la akiba ni kwa mujibu wa sheria gani?
Wewe jiulize mkuu utaenda msikiliza jiwe kwa lipi hasa?Hivi akienda bila TAMASHA inakuwaje?
Kuwepo itaendelea kuwepo lkn haitakuwa madarakani ..acha kukaririCCM ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo tu mpaka pale Yesu Kristo atakapokuja tena kwa mara nyingine au Dunia 'ikipinduka' kwa mara nyingine.
Vp yule wa timu ya wasanii?Kuna mgombea wa chadema alizunguka sokoni na stend ili wapate picha za kumrishia robertison wa Amsterdam