Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Uwanja wa Kambarage Shinyanga: Dkt. Magufuli asema Miaka 5 haitoshi, mpimeni kwa miaka 10

Uchaguzi 2020 Yaliyojiri Uwanja wa Kambarage Shinyanga: Dkt. Magufuli asema Miaka 5 haitoshi, mpimeni kwa miaka 10

Watu wanahitaji maendeleo wewe unaleta lecture za sheria ambazo pia huzijui
Watu wanataka sera sio MUZIKI? Kama unaamini Huyu MAGUFULI kaleta maendleleo venue tija kwa watu ZUCHU anafanya nn kwenye kampeni? Wale wasanii 200 wa nini?
Ama hujui maana ya maendleo wewe
 
Wasanii was nini wakati mmenunua ndege , kujenga flyover , Madaraja Stiegersgorge na Standard Gauge yaani kufanya vyote hivyo lakini Mpaka mvute watu kwa kutumia wasanii na kubeba watu kwfnye malori , mjifunze ujuaji wa kila kitu sio mzuri Limbukeni .
Mtajiharishia mwaka huu. Wasanii ndio wameipenda ccm, mbona juzi Kawe mlikuwa na wasanii?? semeni ukweli chadomo wajanja wameshaishtukia ni kakikundi ka watu fulani wana maelekezo ya mabeberu kujaribu zali kama watapata ili wagawe utajiri wetu kwa mabwana zao, mwaka huu mtaambulia aibu
 
"Kwenye llani yetu Uchaguzi ya 2020, tumedhamiria Kujenga Uwanja Mkubwa wa Ndege hapa Shinyanga Tunataka Mpandie ndege hapa hapa Shinyanga, Sio Mpaka muende huko Kwingine. Mpande Bombadier Ndege Zingine tutakazonunua Hivi Karibuni. Dkt JOHN MAGUFULI, Mgombea Urais CCM.
 
Tusemeni ukweli, MBELEKO inayotumika kumbebe Patrobas Katambi leo ni noma! Kwa ysawa huu Makonda ameshapatiwa mbadala.
 
Naona Magufuli anawahadaa watu kama alivyofanya 2015. Mwambieni kuwa amenyea kambi hivyo sisi siyo wajinga!
 
Dawaamulhaal minalmuhaal, acha kukariri hakuna chenye mwanzo kikawa hakina mwisho

Imekuuma sana Mkuu? Tuvumiliane tu tafadhali kwani Safari hii GENTAMYCINE nipo 'Kikampeni' zaidi na ninataka CCM yangu na Magufuli ashinde.
 
Watanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.

Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,.

Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.

Huyu mtu hatufai kabisa.
Umetumwa na mabeberu

Ushindwe
 
Jamaa anatamani angekuwa pekee yake, kasahau tangu 2015 anapiga kampeni hizi hizi bado haeleweki.
 
Kahutubia mamia sio maelfu..... Walikua wanasubiri fiesta sio kumsikiliza mtu asiye na matumaini
 
CCM ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo tu mpaka pale Yesu Kristo atakapokuja tena kwa mara nyingine au Dunia 'ikipinduka' kwa mara nyingine.
CCM kama chama cha siasa ilikufa enzi za Kolimba. Ila kuna kikundi kinaitwa ccm kimejibananisha na DOLA. siku kikitenganishwa na dola tu hata nacho kitakufa
 
Kufikisha ujumbe kwa njia ya Sanaa sioni tatizo.
Labda Kama huoni nafasi ya Sanaa Kwenye kampeni yako kwamba hutapiga muziki kwasababu unaona wasanii na Sanaa haziwezi kutoa hamasa wala ujumbe kuifikia hadhira.
Sanaa hasa muziki ni muhimu sana iwe msibani, kanisani n.k
Wengine ujumbe ukiwa Katika muziki wanaelewa zaidi kuliko maneno anayozungumza hata Huyo msanii.
Tumia mbinu zote kuifikia hadhira ikuelewe.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
 
Kufikisha ujumbe kwa njia ya Sanaa sioni tatizo.
Labda Kama huoni nafasi ya Sanaa Kwenye kampeni yako kwamba hutapiga muziki kwasababu unaona wasanii na Sanaa haziwezi kutoa hamasa wala ujumbe kuifikia hadhira.
Sanaa hasa muziki ni muhimu sana iwe msibani, kanisani n.k
Wengine ujumbe ukiwa Katika muziki wanaelewa zaidi kuliko maneno anayozungumza hata Huyo msanii.
Tumia mbinu zote kuifikia hadhira ikuelewe.

Sent from my Infinix X603 using JamiiForums mobile app
Kweli kabisa mkuu, sanaa hasa wasanii husaidia kifanya hadhira iwe kubwa.
 
Huyu bwana bado ana kinyongo rohoni kua Arusha na Kilimanjaro hawakumpa kura,
Hajui kua tangu vyama vingi vianze mikoa hyo haikuwahi kutoa kura za kutosha kwa Mkapa, Kikwete kwani yeye ni nani.
Asipoacha ukabila atatengeneza precedence ya ukabila na udini na mwisho ataleta machafuko

Leo kishindo cha awamu ya tano ambacho ni kishindo cha wasanii kitakuwepo uwanja wa Sabasaba Kambarage ambapo mgombea wa CCM ndugu John Pombe atakuwa jukwaani kunadi sera zake huku wasanii nane akiwemo Sholo Mwamba ambaye amempa shule kabambe ndugu Magufuli kucheza kiduku watakuwepo kutoa burudani ya hapa na pale.

Hizi kampeni bwana!
Imagine ndani ya mji mmoja anaanza Hashim Rungwe mnapiga bweche mnashiba, anafuatia Tundu Lissu mnakula madini na kisha anamalizia John Magufuli mnakula burudani kisha mnarudishwa makwenu.

Kwa hakika ingekuwa ni mserereko. NEC sikieni kilio chetu hiki kuhusu ratiba.

Burudani kwa wote!
 
Back
Top Bottom