CAPO DELGADO
JF-Expert Member
- Aug 31, 2020
- 8,542
- 18,340
Imo na size yako!!!!
Wasanii katika ubora wao.
Wananchi wanakula burudani ya size yao.
Wasanii katika ubora wao.
Wananchi wanakula burudani ya size yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni conflict of interest, wasanii ni deal la Humphrey Polepole kupiga ela za ccm kisayansi.Bwana Doctor anandimi mbili.
Kwani kuuliza mwaswali ni kosa kisheria ?!Lisu mjinga badala ya kuomba kura anatuma watu wakaulize maswali!!!
CCM ilikuwepo, ipo na itaendelea kuwepo tu mpaka pale Yesu Kristo atakapokuja tena kwa mara nyingine au Dunia 'ikipinduka' kwa mara nyingine.
Magufuli sio muigizajSema kundi la waigizaji,mleta post ,unawajua wasanii wewe?
Tofautisha wasanii na waigizaji.
Anza na mwenyekiti wkWALIOM
WALIOMPIGA LISU MUULIZENI LISU NA DEREVA WAKE NDIYO WALIOWAONA DEREVA KAJIFICHA WAPI??
Unampa wewe ni nani?Nyie jidanganyeni tu, ccm is there to stay, hatumpi mtu urais eti kisa alipigwa risasi
Weka picha Mkuu.Mwenye shinyanga yake Yuko kambarage, watu watauwana walivyojazana, kiwanja kimekuwa kidogo wengine wamekosa nafasi
Ama kweli JPM anatiisha
Hao wana Mungu wao, siyo Mungu huyu muumba wa mbingu na ardhi.Dawaamulhaal minalmuhaal, acha kukariri hakuna chenye mwanzo kikawa hakina mwisho
Umewahi kumuona akivuta bangi???Nimesikitika sana kuona Rais wangu leo anapigishwa magoti na yule mvuta bangi muimba kiduku.
Tafadhalini wahuni kama hawa wapelekeni kwenye kampeni za madiwani huko au za wabunge.
Ni lazima ifahamike Magufuli bado ni Rais wa nchi hata kama anaomba kura, sijapenda kabisa mvuta bangi mmoja kuwapigisha magoti viongozi eti anaendezha duwa huku anaimba singeli na viongozi wa dini wapo pale, msifumbie macho hawa wahuni wa Humphrey Polepole, hizi ni dili za Chakubanga, Dr Bashiru hakutaka kabisa kuwatumia hawa wahuni wakati TOT ipo na inapiga burudani live band na siyo yale magumashi ya play back za hawa Bongo fleva.
Lisu anawaambia watu akishinda wafugaji watafugia ndani ya hifadhi za taifa.Madini gani anayolisha Lissu? Kusema kwamba migambo wamuulize amiri jeshi mkuu jeshi la akiba ni kwa mujibu wa sheria gani?
WALIOM
WALIOMPIGA LISU MUULIZENI LISU NA DEREVA WAKE NDIYO WALIOWAONA DEREVA KAJIFICHA WAPI??
Hao waliookotwa baharini hawana ndugu? Matanga yalikuwa wapi? Munawaibia wasomali pesa zao mkifika mto ruvu mnawasokomezea mtoni, hayo majizi mafisadi papa mulitaka haendelee kuiba Mali za umma?Watanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.
Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,.
Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.
Huyu mtu hatufai kabisa.
nanyinyi si mvute kwa hivyo vilioo!!! tatizo nini kwani mbona kama tunataka kupangiana??Wasanii was nini wakati mmenunua ndege , kujenga flyover , Madaraja Stiegersgorge na Standard Gauge yaani kufanya vyote hivyo lakini Mpaka mvute watu kwa kutumia wasanii na kubeba watu kwfnye malori , mjifunze ujuaji wa kila kitu sio mzuri Limbukeni .
Ninakushauri uache kusikiliza uchambuzipotoshi wa Dada mweupe na Kaka mweusi wa TBC. Unakuwa kichekesho hivihivi.Nimeamini Lisu hajui hata kusoma yaliyoomo kwnye katiba Na sheria zetu.
MGAMBO ni askari msaidizi anayetambuliwa Na katiba yetu.
Hujaona auMadini gani anayolisha Lissu? Kusema kwamba migambo wamuulize amiri jeshi mkuu jeshi la akiba ni kwa mujibu wa sheria gani?
Watu wanahitaji maendeleo wewe unaleta lecture za sheria ambazo pia huzijuiNinakushauri uache kusikiliza uchambuzipotoshi wa Dada mweupe na Kaka mweusi wa TBC. Unakuwa kichekesho hivihivi.
Pale Shinyanga, Lissu alizungumzia kutotambulika kisheria/katiba kwa jeshi la akiba.
Akayataja pia JWTZ, TZ POLICE, TZ PRIZONS & MGAMBO kama majeshi yanayotambulika kikatiba.