ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Labda ataahidi kutujengea daraja la baharini hapa kwetu IsalamagaziWewe jiulize mkuu utaenda msikiliza jiwe kwa lipi hasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda ataahidi kutujengea daraja la baharini hapa kwetu IsalamagaziWewe jiulize mkuu utaenda msikiliza jiwe kwa lipi hasa?
Nyie jidanganyeni tu, ccm is there to stay, hatumpi mtu urais eti kisa alipigwa risasiBila wasanii na watumishi wa umma hali ni tete
Go to the point.Watanzania tumeshuhudia maiti za watanzania wenzetu zikiokotwa kwenye fukwe zikiwa zimefungwa mawe na vyuma na nyingine zikiwa kwenye viroba.
Watanzania, tumeshuhudia wenzetu wakitekwa na kupotezwa, wafanyabiashra wakifilisiwa,.
Tumeona ndugu na jamaa zetu wakifunguliwa makesi makubwa na yasiyo na dhamana.
Huyu mtu hatufai kabisa.
weka kifungu cha Katiba ya JMT inayosema hayo uliyoandika.Nimeamini Lisu hajui hata kusoma yaliyoomo kwnye katiba Na sheria zetu.
MGAMBO ni askari msaidizi anayetambuliwa Na katiba yetu.
NCCR mna maneno. Vp mmeachiwa viti vingapi na ccm?Madini gani anayolisha Lissu? Kusema kwamba migambo wamuulize amiri jeshi mkuu jeshi la akiba ni kwa mujibu wa sheria gani?
Tuliza mpira wewe.NCCR mna maneno. Vp mmeachiwa viti vingapi na ccm?
WALIOMPIGA LISU MUULIZENI LISU NA DEREVA WAKE NDIYO WALIOWAONA DEREVA KAJIFICHA WAPI??Du balaa tupu
NCCR ndiyo mmeshajikatia tamaa tena..naona hadi mwenyekiti wako Mbatia anasomeshwa namba na TLPTuliza mpira wewe.
Una uhakika?NCCR ndiyo mmeshajikatia tamaa tena..naona hadi mwenyekiti wako Mbatia anasomeshwa namba na TLP
Leo kishindo cha awamu ya tano ambacho ni kishindo cha wasanii kitakuwepo uwanja wa Sabasaba Kambarage ambapo mgombea wa CCM ndugu John Pombe atakuwa jukwaani kunadi sera zake huku wasanii nane akiwemo Sholo Mwamba ambaye amempa shule kabambe ndugu Magufuli kucheza kiduku watakuwepo kutoa burudani ya hapa na pale.
Hizi kampeni bwana!
Imagine ndani ya mji mmoja anaanza Hashim Rungwe mnapiga bweche mnashiba, anafuatia Tundu Lissu mnakula madini na kisha anamalizia John Magufuli mnakula burudani kisha mnarudishwa makwenu.
Kwa hakika ingekuwa ni mserereko. NEC sikieni kilio chetu hiki kuhusu ratiba.
Burudani kwa wote!
NdiyoUna uhakika?
Lisu mjinga badala ya kuomba kura anatuma watu wakaulize maswali!!!Madini gani anayolisha Lissu? Kusema kwamba migambo wamuulize amiri jeshi mkuu jeshi la akiba ni kwa mujibu wa sheria gani?
Bwana Doctor anandimi mbili.!
!
Jamaa alisema hawatatumia wasanii
Nimesikitika sana kuona Rais wangu leo anapigishwa magoti na yule mvuta bangi muimba kiduku.PATROBAS KATAMBI- INJINI NDOGO YA CCM