Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
- Thread starter
- #21
Ngomaaaaaaa..
Dakika ya 28 d. Ngoma kasawazisha... Shuti la chini chini baba..
Yanga wametumia si chini ya pasi nne.. Ngoma amewahadaa mabeki kwa kupiga pembeni na kipa akashindwa kuukamata mpira ule
Dakika ya 28 d. Ngoma kasawazisha... Shuti la chini chini baba..
Yanga wametumia si chini ya pasi nne.. Ngoma amewahadaa mabeki kwa kupiga pembeni na kipa akashindwa kuukamata mpira ule
