Yaliyojiri Uwanja wa Taifa: Yanga FC 2 - 1 Mbeya City

Yaliyojiri Uwanja wa Taifa: Yanga FC 2 - 1 Mbeya City

Umekishwaaaa!!du sasa nahemaaa!!!weitaaa leta eagle moja hapa!
 
Tukishinda mechi ya Jumanne na Toto Africans tunatangaza Ubingwa tukiwa na mechi mkononi...
 
Na mpiraaaaaaa umekwishaaaaa.
Yanga wanaondoka kwa ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Mbeya City.

Ubingwa umekaribia Jangwani,wanazi wenzangu wa Yanga endeleeni kushona suti na shampeni...
Hongereni mashabiki wote wa Yanga.
Ushindi huu tumpe mwenyekiti wetu Manji kama zawadi kwa magumu aliyopitia.
Cheers [emoji323] [emoji485]
 
TeamMadrid
Teamchelsea
TeamBrasil
TeamYanga
Chicagobulls
[HASHTAG]#SerenaWilliams[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Tigerwoods[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Michaelschumecker[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Husseinbolt[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Anorldschawzniger[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Drdre[/HASHTAG]
[HASHTAG]#MohamedAlly[/HASHTAG]
[HASHTAG]#MichaelJordan[/HASHTAG]
[HASHTAG]#Pele[/HASHTAG]
##CCM

Sishangilii legelege mimi...Nashangilia [HASHTAG]#Uhakika[/HASHTAG]
Mkuu hao chicago si zilipendwa, chicago ya kina jordan, pippen, rodman ndio ilikuwa noma, nakumbuka final moja waliingia na uttah jazz ambayo ilikuwa na malone ilikuwa c mchezo
 
FB_20170513_17_15_41_Saved_Picture.jpg
 
Back
Top Bottom