Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Ushamba mzigo
 
Hivi Kuna haja ya kila mazimisho hawa makomando wetu kurudia hizi style Za kupigana fimbo Na kuvunjiana Matofali?

Hivi hakuna style zingine Za kuonyesha mpaka watumie hizi?

Sent from Microsoft Lumia 950xl Lte
 
Hawa makomandoo Ni hatari Sana kwenye Medani lol! Ninachokishuhudia hapa Uhuru noma sana.
 
hahahaha aiseee makomando nimewakubali duuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…