😀😀 kukata mauno mbele ya kadamnasi sio kitu rahisi mkuu inabidi tu wajibustiHalafu uzoefu unaonyesha hawa wacheza ngoma za asili huwa wanaingia uwanjani wamelewa ile mbaya. Wenyewe wanaita kukata stimu
kabisa, niko mbioni kuhama nchi!Unàonaje ukitafuta nchi ambayo uko impressed nayo, utupunguzie jam hapa nchini kwetu??[emoji15] [emoji15]
MTAPANGIWA SIKU NYINGINE YA KUSHEHEREKEAMbagala tanesco wamechukua umeme wao na leo uhuru duh,
hivi kwa kukadilia sherehe kama hizi hugharimu kiasi gani..?Kaka, ndiyo ushangae! Na cha kuhuzunisha zaidi watoa sifa wa mtukufu rais hutowasikia wakizungumzia hili. The guy is so inconsistent, a typical trait of a populist.
Yaani ni usanii kwenda mbele. Actually, siku hizi wala sishangai tena! Toka aache sherehe za mwenge, nikamwona he isn't serious; and doesn't know that he isn't serious.
Wanaume huwa hawaogopani mkuu
Kumbe na wewe umeliona hilo,naona watu hawana furaha,sura zao ziaonyesha huzuni sana,sijui wamekumbwa na nini masikini
Umeongea vizuri,wangeweka misumali hata minne tuNaomba uyo komando awekewe msumari mmoja tu kwenye ubao aulalie alafu wengine wapite juu !!!
Kuna tofauti ya kulalia ubao wenye misumari 200 na msumari 1-6 hivi.misumali 200 wame neutralize sana effect yakeMkuu bado hujanishawishi na naona kama vile unataka nikafe mubashara. Haya sawa yale matofali ni ya magumashi je na ile misumari 200 nayo ni feki? Mkuu hivi unanipenda na kunitakia mema kweli kwa aina yako hii ya ushawishi kwangu?
Wewe ulishaona vijana wa ngosha wanajua itifakiNaomba kukuuliza hivi Mkuu wa Mkoa Paul Makonda siku hizi na yeye amekuwa Mtu wa Itifaki? Kwani namwona anafanya Kazi za Watu wa Protocol na kimsingi yeye anatakiwa tu kumpokea mgeni, kupeana nae mkono kisha kuwaachia Watu wa ( Kazi Maalum / Itifaki ) kuendelea na majukumu yao waliyosomea na kubobea nayo lakini cha kusikitisha yeye huyo huyo RC Makonda anaenda kumpokea Mgeni kisha yeye huyo huyo tena anawasindikiza karibu na kupanda ngazi tena huku akitoa maelekezo. Huyu Mkuu wenu wa Mkoa aache kuwa na sifa na kimbelembele na nina uhakika hata Watu wa Itifaki alionao pale anawakwaza. Kwanini hajifunzi na habadiliki?
Watu wafupi wanakuwaga wababe sana, unamkung'uta makonzi, hawezi kulalamika kokote kuwa mke wangu alinipiga.Huyu mama kazidi upole ningekuwa Mimi nampiga roba na full makonzi Mpaka anyooke aisee na hivi ni adunje
Sawa, lakini Mkulu ni tingatinga hatari, sipati picha kuishi nae...sijui home nako kuna kutumbuliwa lolDon't judge a book by its cover
Mama kuna vyakujaribu, hivi nature na watu wafupi unajua ubishi wao ulivyo?Mimi ninachoshangaa ule utall wote anashindwa kumrushia makonzi yule bwana mfupi?
Sio kejeli bana we ndo unataka kuzianzisha...Acha kumkejeli mtu anayelala uchi na Rais
Hana mke hana watoto aibu ya nini?Bwana yule ana roho ngumu sana waswahili wasema hana aibu wala soni
Sure, na watu ambacho hawajakifahamu, yule kalalia vichwa vya misumari iliyokusanyika sehemu moja sio nchi ya misumari.Ile misumari unaweza ikalia na isikudhuru sababu ya wingi, ningewaelewa kama ungekuwa msumari mmoja tu then wafanye yale wanayo yafanya hahahaaaa
Hospital zinge jiandaa kupokea majeruhi...
Umetisha mkuuMTAPANGIWA SIKU NYINGINE YA KUSHEHEREKEA