Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Nilibyosikia anagusia wafanyakazi, wanafunzi na ajira na kusema leo ni siku ya furaha moyoni nikategemea yafuatayo,
1. Tunaongeza mishahara mara dufu
2. Kila mwanafunzi apate mkopo
3. Nimeruhusu ajira kuanza kutolewa
 
Akishasalimia hiyo salamu ya kiarabu ndio itaongeza nini katika pato la taifa au living standard ya watanzania?
 
Pumbavu wewe! Kuna nchi zinaongozwa na maraisi walioko kitandani na wanahafadhali kuliko hao wenye uwezo wa kusimama hadi mizinga 21 ipigwe!
Jmn watu waache msema vby Lowasa mana kuna katrend waliomsema wana RIP ye yupo anadunda,ss sijui ni coincidence ama ni vepee
 
Eti hapo rais kashamaliza hotuba yake.
Hajaongelea ajira na hajui kuwa wimbi kubwa la vijana lipo mtaani.
Kweli hapa rais tunaye.
Sijui alipataje urais huyu mtu kwa kweli.
Ana mawazo ya kimaskini very minded mind
 
Duuuh... Leo kajitahidi maana angeweza kutumbua hapo uwanjani.... Akili yake anaijua mwenyewe...
 
Nilibyosikia anagusia wafanyakazi, wanafunzi na ajira na kusema leo ni siku ya furaha moyoni nikategemea yafuatayo,
1. Tunaongeza mishahara mara dufu
2. Kila mwanafunzi apate mkopo
3. Nimeruhusu ajira kuanza kutolewa
serikali ya awamu ya tano tumejipanga kufanya kazi kweli kweli,
fanya kazi kwa moyo kwa maendeleo ya nchi yako
 
Nilibyosikia anagusia wafanyakazi, wanafunzi na ajira na kusema leo ni siku ya furaha moyoni nikategemea yafuatayo,
1. Tunaongeza mishahara mara dufu
2. Kila mwanafunzi apate mkopo
3. Nimeruhusu ajira kuanza kutolewa
Dah lakin katika hoja za msingi alizoziona yeye ni pamoja na ndege sita!! Siju imekaaje hii kwa watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…