ElPuto Jefe
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 5,284
- 19,410
Makonda kapigiwa chapuo....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dizain km imetoka hv mana yuko kwny shukrani tyrNasubiri kusikia issue ya bukoba, akiikalia kimya ntaona mkulu anajua mpango mzima ulivokwenda.
duuhanataka watanzania wote kabla hamjafa mpande ndege,
Akishasalimia hiyo salamu ya kiarabu ndio itaongeza nini katika pato la taifa au living standard ya watanzania?Ayaa, salamu za kidini tena. Bwana asifiwe, tumsifu Yesu Kristu???????. Nani kamfundisha rais haya mambo? Marais waliopita wslisalimia tu, Asalam Aleikhum. Hiki ni kiswahili wala suo salama ya kidini! Kama wanataka kutoa salamu za kidini basi amalizie hiyo salamu ili iwe ya kiislam sawia! Yaani iwe Asalaam Aleikhum wa rahma tulah wataala wa Barakatul.
Why salamu za kidini? Tumsifu Yesu Kristu? Bwana asifiwe? Why? Mbona Mwalimu hakuwahi kufanya haya mambo?
Hili halina maelezo ya ziada zaidi kuashiria ufa mkubwa wa kidini uliopo sasa! Please stop this! Inaamsha hisia za kidini bila sababu yoyote. Tafadhali viongozi wakuu wa chini yetu epukeni kuweka vionjo vya kidini kwenye hotuba zenu!
Ninayo tangu mwaka jana sijajua ilikua ni ya jeshi la japani china au korea.mkuu fb jina gani niingie mm sikuwepo .
Kama tulivyotarajiaMakonda kapigiwa chapuo....
Jmn watu waache msema vby Lowasa mana kuna katrend waliomsema wana RIP ye yupo anadunda,ss sijui ni coincidence ama ni vepeePumbavu wewe! Kuna nchi zinaongozwa na maraisi walioko kitandani na wanahafadhali kuliko hao wenye uwezo wa kusimama hadi mizinga 21 ipigwe!
Usimfananishe mama wa machame na wa kule nanii...sjui hata wapi.Mama kistuli sio mtu wa sport sport
Teali kavushaa..dah mh sio vzuriDizain km imetoka hv mana yuko kwny shukrani tyr
Hiyo hela ya kupandia ndege watatoa wapi?Ht km zisingenunuliwa,Serikali italeta wali nyama milangoni kweli??
serikali ya awamu ya tano tumejipanga kufanya kazi kweli kweli,Nilibyosikia anagusia wafanyakazi, wanafunzi na ajira na kusema leo ni siku ya furaha moyoni nikategemea yafuatayo,
1. Tunaongeza mishahara mara dufu
2. Kila mwanafunzi apate mkopo
3. Nimeruhusu ajira kuanza kutolewa
Dah lakin katika hoja za msingi alizoziona yeye ni pamoja na ndege sita!! Siju imekaaje hii kwa watanzaniaNilibyosikia anagusia wafanyakazi, wanafunzi na ajira na kusema leo ni siku ya furaha moyoni nikategemea yafuatayo,
1. Tunaongeza mishahara mara dufu
2. Kila mwanafunzi apate mkopo
3. Nimeruhusu ajira kuanza kutolewa