Wakati mwingine muwe mnatumia vichwa vyenu ipasavyo... Hivi ile nayo ni kauli ya kushikia kidete?huyo mama kazi anayo, tangu kipindi cha kampeni hata siku ile kikwete anamkumbusha amtambulishe mkewe jibu alilotoa pale halikuwa zuri
Hivi kweli kuna mwanamke anathubutu kulala uchi na Rais kabisa?Acha kumkejeli mtu anayelala uchi na Rais
Changamsha genge tu watanzania wanaishikia bangoWakati mwingine muwe mnatumia vichwa vyenu ipasavyo... Hivi ile nayo ni kauli ya kushikia kidete?
Wapi MangeMke wa Rais yuko wapi? Au mimi tu ndio sikumuona?
Umesahau juwa tz ni moja kati ya mataifa TAJIRI DUNIANIhe! leo hakuna kubana matumizi..?
Kivipi MkuuMakonda kapigiwa chapuo....
Kwanza hukumchagua, we baki na yule wako wa moyoni....yule wa hotuba za dakika mbili!Eti hapo rais kashamaliza hotuba yake.
Hajaongelea ajira na hajui kuwa wimbi kubwa la vijana lipo mtaani.
Kweli hapa rais tunaye.
Sijui alipataje urais huyu mtu kwa kweli.
Ana mawazo ya kimaskini very minded mind
Mama kistuli aliona isiwe shida tengua tu viungo Mpaka akanyooka, mwenyewe ningemvizia tu chah haya mambo ya upole.
hasa yule ballotel
mbona inatembeza mabakuli ya kuomba msaada..?Umesahau juwa tz ni moja kati ya mataifa TAJIRI DUNIANI
wewe nani kakwambia kuongelea matatizo kila muda ndio njia ya kuyatatua?Eti hapo rais kashamaliza hotuba yake.
Hajaongelea ajira na hajui kuwa wimbi kubwa la vijana lipo mtaani.
Kweli hapa rais tunaye.
Sijui alipataje urais huyu mtu kwa kweli.
Ana mawazo ya kimaskini very minded mind
Mkuu hujamsikia Mkula akimsifia..??Kivipi Mkuu