Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

huyo mama kazi anayo, tangu kipindi cha kampeni hata siku ile kikwete anamkumbusha amtambulishe mkewe jibu alilotoa pale halikuwa zuri
Wakati mwingine muwe mnatumia vichwa vyenu ipasavyo... Hivi ile nayo ni kauli ya kushikia kidete?
 
Nimeguswa na uwepo wa Jecha.

Sampuli fulani kama amepewa treatment ya kipekee, mbona kwa luvuba ni tofauti
 
nini maana ya haya maneno

ITIFAKI na PROTOKALI....

yani huwa yananifikirisha sana,, ! ni haihitaji shule ya darasani, naomba maana yake hapa..wakuu.
 
Eti hapo rais kashamaliza hotuba yake.
Hajaongelea ajira na hajui kuwa wimbi kubwa la vijana lipo mtaani.
Kweli hapa rais tunaye.
Sijui alipataje urais huyu mtu kwa kweli.
Ana mawazo ya kimaskini very minded mind
Kwanza hukumchagua, we baki na yule wako wa moyoni....yule wa hotuba za dakika mbili!
Mama kistuli aliona isiwe shida tengua tu viungo Mpaka akanyooka, mwenyewe ningemvizia tu chah haya mambo ya upole.

hasa yule ballotel
 
Eti hapo rais kashamaliza hotuba yake.
Hajaongelea ajira na hajui kuwa wimbi kubwa la vijana lipo mtaani.
Kweli hapa rais tunaye.
Sijui alipataje urais huyu mtu kwa kweli.
Ana mawazo ya kimaskini very minded mind
wewe nani kakwambia kuongelea matatizo kila muda ndio njia ya kuyatatua?
 
Naona Magufuli amebana matumizi kwa kumuacha mke wake ikulu. Sijui atakuwa kaokoa shilingi ngapi za wese!
 
Back
Top Bottom