bushland
JF-Expert Member
- Mar 6, 2015
- 7,015
- 4,985
Umeharibu Sana hapa, kuwa makiniAcha kumkejeli mtu anayelala uchi na Rais
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeharibu Sana hapa, kuwa makiniAcha kumkejeli mtu anayelala uchi na Rais
We ni chizi haswaWajingw wenzako ndo watakaokupa like
Haikubaliki kwa sababu za kiusalama. Si Tanzania peke yake. Ni dunia nzima. Wakitumia usafiri mmoja likatokea la kutokea inakuwaje? Unapoteza Rais na Makamu wake kwa wakati mmoja!Hivi najiuliza Rais, Makumu wake na PM hawawezi kupanda gari moja kwenda uwanjani? Tuna bana matumizi pamoja na kupunguza foleni.
Asiri= AsiliHivi hizi ngoma za asiri kila mwaka ni kutoka mikoa ile ile tu ama mikoa mingine huwa hakuna vikundi vya ngoma? nauliza tu make haya mambo ya itifaki nayo ni shida kweli kweli. Mikoa kama Arusha, Tabora, Singida, Mara n.k hawana ngoma za asiri za kutumbuiza sherehe?
Tanzania tupo makabila mengi sana aiseeHivi hizi ngoma za asiri kila mwaka ni kutoka mikoa ile ile tu ama mikoa mingine huwa hakuna vikundi vya ngoma? nauliza tu make haya mambo ya itifaki nayo ni shida kweli kweli. Mikoa kama Arusha, Tabora, Singida, Mara n.k hawana ngoma za asiri za kutumbuiza sherehe?
Vidonge mkuuIla kama Fidel Castro atafufuka leo, anaweza akafa tena kama atamuona yule Komando wetu mwenye Kitambi.
Komando unakuaje na Kitambi???
Umelazimishwa kusoma comments zangu? usifuate ninachokiandika kaa kimya.Unaweza kutoa mfano hai wa unachokisema??
Eeeeeeeewaaaaa kumbe na wewe umefikiria nje ya box, mkuu.Umeongea vizuri,wangeweka misumali hata minne tu
Kuna tofauti ya kulalia ubao wenye misumari 200 na msumari 1-6 hivi.misumali 200 wame neutralize sana effect yake
ahahaha,aya mkuu!bora nusu shari...Mkuu Makongo sipiti ng'o kwani kuna Binti wa Afande mmoja nilikuwa nambandua alinizingua nikampa Kichapo cha Kimusoma Musoma na hadi leo Mshua wake ananimaindi sana hivyo nikienda pande za Makongo sitokuwa na tofauti ya Mbwa amwonapo Chatu ambapo hujipeleka mwenyewe kuliwa / kumezwa.
Watu wananyonya tu PoshoHaya mangoma ya asili na kwaya si zifutwe tuu.... Hamna cha maana