Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Yaliyojiri Uwanja wa Uhuru Dar es Salaam: Maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru wa Tanzania Bara

Hivi najiuliza Rais, Makumu wake na PM hawawezi kupanda gari moja kwenda uwanjani? Tuna bana matumizi pamoja na kupunguza foleni.
Haikubaliki kwa sababu za kiusalama. Si Tanzania peke yake. Ni dunia nzima. Wakitumia usafiri mmoja likatokea la kutokea inakuwaje? Unapoteza Rais na Makamu wake kwa wakati mmoja!
 
Hivi hizi ngoma za asiri kila mwaka ni kutoka mikoa ile ile tu ama mikoa mingine huwa hakuna vikundi vya ngoma? nauliza tu make haya mambo ya itifaki nayo ni shida kweli kweli. Mikoa kama Arusha, Tabora, Singida, Mara n.k hawana ngoma za asiri za kutumbuiza sherehe?
Asiri= Asili
 
Hivi hizi ngoma za asiri kila mwaka ni kutoka mikoa ile ile tu ama mikoa mingine huwa hakuna vikundi vya ngoma? nauliza tu make haya mambo ya itifaki nayo ni shida kweli kweli. Mikoa kama Arusha, Tabora, Singida, Mara n.k hawana ngoma za asiri za kutumbuiza sherehe?
Tanzania tupo makabila mengi sana aisee
 
Umeongea vizuri,wangeweka misumali hata minne tu

Kuna tofauti ya kulalia ubao wenye misumari 200 na msumari 1-6 hivi.misumali 200 wame neutralize sana effect yake
Eeeeeeeewaaaaa kumbe na wewe umefikiria nje ya box, mkuu.
 
Mkuu Makongo sipiti ng'o kwani kuna Binti wa Afande mmoja nilikuwa nambandua alinizingua nikampa Kichapo cha Kimusoma Musoma na hadi leo Mshua wake ananimaindi sana hivyo nikienda pande za Makongo sitokuwa na tofauti ya Mbwa amwonapo Chatu ambapo hujipeleka mwenyewe kuliwa / kumezwa.
ahahaha,aya mkuu!bora nusu shari...
 
Back
Top Bottom