Lung'wecha
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 927
- 574
hasa yule ballotelIngekuwa ni mpira basi Man Of The Match ni Kikundi cha Gwaride la Kimyakimya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hasa yule ballotelIngekuwa ni mpira basi Man Of The Match ni Kikundi cha Gwaride la Kimyakimya.
Inaelekea anataka kuoa mwanamke mwingine maana hii kauli anaiongea mara kwa mara....anamuandaa mke wake kisaikolojiaSiri ni kuwa na wake wawili.....Dah mzee wa upako ameleta problem!!!!!!!!.JPM amependa hilo wazo.
kweli mkuuhasa yule ballotel
Uwanja wa uhuru =uwanja wa Jamuhuri.Sherehe zijazo ni Dodoma, mi nilifikiri zinafanyika ktk uwanja wa uhuru kama kumbukumbu flan hivi, au sielewi bendera ya kwanza ilipandishwa uwanja upi?
ha ha ha kumbe maji yanafuata mkondoMtoto mwenyewe zimo kwani?
Wakati milo miwili kwa siku shidaNdege sita zimeshanunuliwa
U never know script ni unpredictable mkuu,Hivi Kweli suala la Wahanga wa Bukoba litaongelewa?
Nauliza tu.
Nafikiri anatutayarisha kisaikolojia ili akivuta mzigo tusishtuke kabisa.Soon atatuletea kitu kipyaaa.But am sure sio yule......naniiiInaelekea anataka kuoa mwanamke mwingine maana hii kauli anaiongea mara kwa mara....anamuandaa mke wake kisaikolojia
Hausigeli wangu alipomuonna Paulo akaniuliza "Na yule ni Rais?"[emoji23] [emoji23] [emoji23]Naomba kukuuliza hivi Mkuu wa Mkoa Paul Makonda siku hizi na yeye amekuwa Mtu wa Itifaki? Kwani namwona anafanya Kazi za Watu wa Protocol na kimsingi yeye anatakiwa tu kumpokea mgeni, kupeana nae mkono kisha kuwaachia Watu wa ( Kazi Maalum / Itifaki ) kuendelea na majukumu yao waliyosomea na kubobea nayo lakini cha kusikitisha yeye huyo huyo RC Makonda anaenda kumpokea Mgeni kisha yeye huyo huyo tena anawasindikiza karibu na kupanda ngazi tena huku akitoa maelekezo. Huyu Mkuu wenu wa Mkoa aache kuwa na sifa na kimbelembele na nina uhakika hata Watu wa Itifaki alionao pale anawakwaza. Kwanini hajifunzi na habadiliki?
Ht km zisingenunuliwa,Serikali italeta wali nyama milangoni kweli??Wakati milo miwili kwa siku shida
mkuu fb jina gani niingie mm sikuwepo .Ninayo video kwenye facebook na whtapp
Kwani itifaki inawekwa na nani, si raisi na wasaidizi wake. Ni uamuzi tu. Mbona Mkapa aliomba lift kwenye ndege ya Museveni kutoka kwa TataMadibaKiitifaki,haiwezekani
Hahahhahahahah..na shades zake zile utamtakaa lolHausigeli wangu alipomuonna Paulo akaniuliza "Na yule ni Rais?"[emoji23] [emoji23] [emoji23]
anataka watanzania wote kabla hamjafa mpande ndege,Mkulu yeye kakomaa na ndege tu
Mkuu hebu suala la mke na watoto linakuja vp hapa au unataka ww uwe ktk hizo position ulizotaja?