Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si mchezo aseNimekubali KOMONI Tamu
Ile show off ya Wajeda imewapa hofu. Lazima wawe wapole.Na ya Wamachinga pia.
Maswali ya kiwaki ndo nini?Maswali ya Kiwaki.
Sijui. Cheki kile Magufuli alichokisema mwaka jana juu ya kubana matumizi na kuokoa fedha za sherehe za uhuru.hivi kwa kukadilia sherehe kama hizi hugharimu kiasi gani..?
Swali kwa swali!!!Uwanja wa uhuru =uwanja wa Jamuhuri.
Kwan watu hufungia harusi sehemu walipotongozeana?
Hii itakuwa emotional abuse, physical abuse zimepita nyingi tu.Mkuu anasema Mwinyi kamwambia awe na wake wawili ili aishi miaka mirefu. Huku ni kumfulastrate mama
Kwani serikali ndio inakupikia chakula!Wakati milo miwili kwa siku shida
Na wangemchagua mizinga ya leo sijui ingekuwaje!Kwanza hukumchagua, we baki na yule wako wa moyoni....yule wa hotuba za dakika mbili!
Sisomi namba mimi , mwaka huu nimeuza korosho zangu huku kijijini kwa sh 3750 kwa kilo na nilivuna tani 15, we na wapiga dili wako mnaong'ang'ania mjini mkidai ajira ndio mnaisoma namba kudadadeki!Basi sawa. Ila number utaisoma tu
Wale wananchi waliosema:-.., wale wale wananchi ambao mwaka jana (2015) mwezi kama huu (desemba) walishangilia kweli sherehe za uhuru zilopohairishwa kwa kisingizio cha 'kubana matumizi' na fedha zile kuelekezwa kwenye matumizi mengine., tukielezwa tufanye usafi nchi nzima..,
..., mwaka huu (2016) ndiyo wananchi hao-hao leo wanasherekea na kushangilia tena wakati maadhimisho yale ambayo mwaka jana yalikataliwa kwa kisingizio cha kubana matumizi, leo wakati yanafanyika.., tena wananchi wale-wale wakishangilia kwa vifijo na nderemo wakisema Hapa Kazi Tu..,
[emoji1485] wananchi hawa siyo watu wa mchezo-Mchezo, wanakwenda na namna unavyovuma.
[emoji1485] wananchi hawa wanacheza kila wimbo, hata wimbo reggae wao wanakata Viuno.
[emoji1485] wananchi hawa, ni rasmi wamekuwa wepesi kusahau, sasa wameruhusu watawala waone udhaifu wao, na bado!
[emoji1485] ni rahisi sana Kuwaongoza watu wa aina hii.., leo wakisikia hivi OYEE, kesho wakisikia hivi OYEE!
[emoji1485]Wale wananchi ambao mwaka jana walisema ahsante kwa kuondoa sherehe za maadhimisho haya.., leo ndiyo wameingia katika uwanja wa uhuru (shamba la Bibi) tangu alfajiri.., ajabu sana!
[emoji1485] hata mwaka mmoja haujapita, tumesahau kabisa tuliambiwa nini 2015 (Desemba) , na sasa 2016 (Desemba) tunashangilia kile ambacho tulisema kwa pamoja ni gharama na hasara kuadhimisha sherehe hizi.., WADANGANYIKA!
T U S A M E H E,
Ngoja wafanyie huko huko kuondoa foleni na misafara kama ilivyokuwa leo watu wamepata shida kusubiria magari yao yapite,wakienda Dodoma jiji la Dsm litapumua kwa mengi na maendeleo yataongezeka kwa kasi kubwa zaidi maana miji yote ya biashara Duniani hukaa mbali na Ofisi kuu za serikali.Dodoma kila kitu kipo kwa shughuli zote za serikali.ni bahari tu hakuna.