tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Watoto wamejaa uwanjani kwa kusombwa na mabasi,hii ndio ccm utopolo ya meko na wajinga kama weweChadema wakiangalia kilichotokea mwanza kwenye mikutano wa magufuliii, ni halali wajiandae kulalamika kuwa wameibiwa kula.
Mzeeee wa kiki kule kisiwani mkutano wake umezidiwa na ule wa hash rungwee.