tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Watoto wamejaa uwanjani kwa kusombwa na mabasi,hii ndio ccm utopolo ya meko na wajinga kama weweChadema wakiangalia kilichotokea mwanza kwenye mikutano wa magufuliii, ni halali wajiandae kulalamika kuwa wameibiwa kula.
Mzeeee wa kiki kule kisiwani mkutano wake umezidiwa na ule wa hash rungwee.
Kiwanda cha matusi kilipoenda mwanza hakuna mtoto alienda kukiangalia?Watoto wamejaa uwanjani kwa kusombwa na mabasi,hii ndio ccm utopolo ya meko na wajinga kama weweView attachment 1562262
Ni kwa wale watoto wa shule waliofurika uwanjani au?Chadema wakiangalia kilichotokea mwanza kwenye mikutano wa magufuliii, ni halali wajiandae kulalamika kuwa wameibiwa kula.
Mzeeee wa kiki kule kisiwani mkutano wake umezidiwa na ule wa hash rungwee.
Watoto ni baraka za munguuu.Ni kwa wale watoto wa shule waliofurika uwanjani au?
Haina shida bali kushindwa ni haki yenuWatoto wamejaa uwanjani kwa kusombwa na mabasi,hii ndio ccm utopolo ya meko na wajinga kama weweView attachment 1562262
Hizo ni hoja za kitoto sana nyie nyumbu wa chedema , ok hawa ni kina nani , hangaikeni na mikakati yenu kuchukua nchi sio kama kuokota embe dodo!Watoto wamejaa uwanjani kwa kusombwa na mabasi,hii ndio ccm utopolo ya meko na wajinga kama weweView attachment 1562262
Utopolo njaa itakuua safari hii watoto ndio hujaza uwanja,mnawabeba kwa mabus n maloriHizo ni hoja za kitoto sana nyie nyumbu wa chedema , ok hawa ni kina nani , hangaikeni na mikakati yenu kuchukua nchi sio kama kuokota embe dodo! View attachment 1562382
Walimu na wanafunzi Leo wamepewa T-shirt na posho kwenda kujaza CCM Kirumba!!
Kweli CCM mmeishiwa!
Wasiompenda huyu mwamba, wakanunue malimao kabisaaa maana hakuna wa kumzuia ati.Jana siku nzima barabara ya kutoka Musoma ilikuwa imejaa mpak mwanza mjini watu Wana msubiri, katoka msoma asubhi kafika Mwanza jioni, poleni sana msiompenda huyu mwamba.
View attachment 1561206View attachment 1561207View attachment 1561208View attachment 1561209View attachment 1561210View attachment 1561206View attachment 1561207View attachment 1561208View attachment 1561209View attachment 1561210View attachment 1561214View attachment 1561215View attachment 1561216View attachment 1561217View attachment 1561218View attachment 1561219View attachment 1561220View attachment 1561221
Na leo hali ya hewa mwanza ipo mjarabu Sana, hakuna jua ni mawingu na ubaridi fulani amazing baada ya kunyesha mvua kubwa juzi, mweshimiwa ajiandae kuhutubia maelfu ya wakazi, mkoa wa Mwanza Una idadi ya watu ~3million, roughly hakosi kura 800K, wafanyakazi, wapenda kuajiriwa na wapenda vinono , wapenda mishahara mikubwa bila kuhangaika huku hawazidi 200k ambao wengi wao hawataenda kupiga kura ila wataalam wa mitandaoni , so huku Lissu ategemee kura 80K , membe 0.5K na hashimu 2K.....
Tujage
SIO KILA ANAYEANDIKA TOFAUTI NA WEWE UNAYETAKA NI CHADEMA .,...WENGINE HAWANA VYAMA AU PIA NI CCM ,..AU NI WAPENDA USAWA TUSiasa za nyomi Chadema mnapenda Sana , hamjajifunza bado Kwa Lowasa , watu wamejaa kwenye pitch , na sa hv asubh hii , mida ya sa kumi ndo uje na malalamiko kuwa uwanja ulikuwa nusu , nyie mlijisifu na watu wa furahisha na bado picha mkadublicate, na kampeni zenu zilihusisha kanda nzima
LAZIMA ASHINDE KWAKUA HAKUNA USHINDANI ULIO SAWIA ,,,....TBC TOKA ASUBUHI KILA SIKU ANAONEKANA YEYE TU ...WAKATI SHERIA ZA UCHAGUZI ZINAHITAJI WAGOMBEA WOTE WOTE WAPEWE FURSA SAWA ZA MIKUTANO YAO KURUSHWA MUBASHARA ....YEYE HADI MIKUTANO YA PEMBENI YA BARABARA YUKO LIVEWasiompenda huyu mwamba, wakanunue malimao kabisaaa maana hakuna wa kumzuia ati.