Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Status
Not open for further replies.
Ulaya hakuna hata mwehu mmoja mwenye kuweza kushangilia kushushwa kileleni mwa ligi only in Simba Sc ndio utakutana na majinga hayo.

Fanya Cost Benefit analysis ya kikosi chenu na cha Simba, linganisha resources mlizozitumia kutaka kurudisha zile 5 ila kimebuma. Jipangeni tena.
 
Fanya Cost Benefit analysis ya kikosi chenu na cha Simba, linganisha resources mlizozitumia kutaka kurudisha zile 5 ila kimebuma. Jipangeni tena.

Wachezaji wa kimataifa wametoa droo na watoto wa mchangani.
 
Waiter upo wapi leta kinana nyingine, saa ngapi jamani lakini sina hofu boss naye ni simba damu kama mimi

Ulikunywa ngapi?

Vp umewahi kazini leo au hang over imechyua nafasi yake umeshindwa kuamka.

Chezeya mahaba na simb
a
 
We mama wewe. We njoo tu nikuoe. baaas. Haka ka Heaven on earth kamenipa tabu sana jana. Yani shenzy zake chapchap sana. Hii hangover sijui kama ntaenda kwa mkoloni.

Ha ha haaa, babu unazeeka vibaya...yaani furaha hadi unataka kuoa mjukuu????

By the way pole na hangover ila jitahidi tu uende kwa mkoloni ili upate za kuzimua.

Jana ulimtaja hadi Mungu...kufungwa si kwa kuombea
 
Kula tano mwanamsimbazi, acha watubeze na kututukana wanaosema tunashangilia droo hawajui ni kwa nini tumefurahi maana pia hawajui hali tuliyokuwa nayo wakati wanaongoza zile tatu, wangejua hali tuliyokuwa nayo wasingetubeza na kututukana.
 
Last edited by a moderator:
Ha ha haaa, babu unazeeka vibaya...yaani furaha hadi unataka kuoa mjukuu????

By the way pole na hangover ila jitahidi tu uende kwa mkoloni ili upate za kuzimua.

Jana ulimtaja hadi Mungu...kufungwa si kwa kuombea

Si unajua Mungu ni shabiki wa Simba?
 
Kitenge mwenyewe haamini yanayotokea, anakwambia Kocha wa Yanga naye ameingia kwenye mtego wa mashabiki wa kuona walivyoongoza tatu bila wakaona wamemaliza kila kitu walisahau kwamba mpira ni dakika 90.
Basi yeye akaombe ukocha wa Yanga
 
Club bingwa Afrika fainaly ni Al Ahaly vs Orlando Pirates. Nyinyi endeleeni na ushabiki wenu maandazi wa kombe la mbuzi.
Mkuu naona unajidai kutoa ushauri kumbe unahangaika kama Kitenge
 
Mkuu naona unajidai kutoa ushauri kumbe unahangaika kama Kitenge
Huyu jamaa toka jana nimeshamwona ukiendelea kujibizana naye huchelewi kuswekwa lupango ya JF maana anapenda
sana kuprovoke watu sijui hajiamini, sentensi moja ya pili tusi.
 
Kula tano mwanamsimbazi, acha watubeze na kututukana wanaosema tunashangilia droo hawajui ni kwa nini tumefurahi maana pia hawajui hali tuliyokuwa nayo wakati wanaongoza zile tatu, wangejua hali tuliyokuwa nayo wasingetubeza na kututukana.

Ahsante sana mwanamsimbazi mwenzangu. Hali ya dkk 45 za kwanza jana haikuwa nzuri kabisa. Yaani wengine tulikuwa ICU.

Kw kweli nina raha hadi sasa inabubujikia chini
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…