Yaliyojiri VPL: Simba SC vs Yanga SC - 20 October 2013

Status
Not open for further replies.

Ulikunywa ngapi?

Vp umewahi kazini leo au hang over imechyua nafasi yake umeshindwa kuamka.
Chezeya mahaba na simb
a
We acha tu nimelala kaunta kufika kazini ni usingizi wa hangover ila nimeomba ruhusa kwa boss kwa kisingizio naumwa
 


Yanga wenzangu, niliyoyaona na kuyaandika hapo juu ndiyo ambayo mwalimu Brandts pia aliyaona na anayafanyia kazi. Kama mwalimu atafanya maamuzi magumu kama haya walau nitapata hope ya taji letu kurudi mahala pake Jangwani. Angalia hapa chini...


 

Mkuu Bala, mimi sina nia ya kuleta utani wa SImba na Yanga ktk hili, nimesema Yanga walipoteza mechi dhidi ya Simba kwa kuangalia haya;
1. Baada ya mechi, upande gani ulikuwa na furaha?
2. Baada ya mechi kuisha, upande gani ulikuwa na huzuni?

Ukiweza kuyajibu haya utagundua kwa nini Yanga walipoteza mechi dhidi ya SImba. Sijasema Yanga wamefungwa na SImba, bali Yanga wamepoteza mechi dhidi ya Simba!
 

Bala, haikuwa kama matokeo ya juzi! Haijawahi kutokea (tafuta kumbukumbu) walipocheza Simba dhidi ya Yanga huko nyuma, na timu mojawapo ikiwa nyuma ya mabao matatu bila halafu mpinzani wake akafanikiwa kuyarudisha yote, Tafuta! Hiyo ya 4-4 ilikuwa 'funga-nikufunge' na sio kama hii ya juzi.
 
Hii kwangu ilikiwa mechi bora kabisa zilizowahi kuwakutanisha Simba Vs Yanga.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…