ila simba dawa yenu!
kidume chako stand united bwana halafu bado wajiita kidume kisa una mindevu!!! . yanga international bwana
اهل yanga اليوم في غاية الفرح،ونرجو ان نخلص مزيحنالذي يكاد ان ينزل من ليغ،وعليه ان يسأل نفسه هل هو مسجل ليلعب مع ينغا فقط؟ستموتون بضغط الدم هذه السنة،هههههههههههههههههههههههههههههه
Yanga hoyeeeeeeee!!!!
mlipowafunga mbeya city walikuwa marefa wa yanga!! We nae walewale tu huna lolote!
mlipowafunga mbeya city walikuwa marefa wa yanga!! We nae walewale tu huna lolote!
hapa tunaongelea simba na yanga sasa stand katoka wapi! Umevurugwa kijana km sisi kidume chetu stand basi nyie sisi vidume wenu!
Kumbuka bado mna mechi kumi, kati ya hizo mechi lazima muwe na draw za kutosha na vipigo hamtaviepuka. Msimu wa 2011/2012 mlipoteza mechi saba, kwa hiyo msimu huu hakuna cha ajabu kupoteza mechi zaidi ya tatu.Hatupotezi mechi tena. Sikumbuki ni lini Yanga ilipoteza mechi 3 katika msimu wa ligi ukiondoa msimu huu. Tulizopoteza zatosha, sasa ni mwendo mdundo tu hadi ubingwa.
Kumbuka bado mna mechi kumi, kati ya hizo mechi lazima muwe na draw za kutosha na vipigo hamtaviepuka. Msimu wa 2011/2012 mlipoteza mechi saba, kwa hiyo msimu huu hakuna cha ajabu kupoteza mechi zaidi ya tatu.
Hao marefa mkuu wangekuwa ni wanazi wa Simba tusingetoa draw nyingi hivyo, draw zenyewe karibia timu pinzani zote zilikuwa zinasawazisha tena kipindi cha pili na zingine karibia dakika ya 90 mfano Coastal na Prison, kama wangekuwa ni wanazi si wangeyakataa tu yale magoli ili timu ishinde yao ishinde.Marefa wanazi wa Simba wanatuua sana. Nashauri TFF wawe wanaleta marefa toka nchi za nje bila kuhusisha nchi 5 za Afrika Mashariki, maana hawa nao wana unazi na hizi timu. Fikiria Musonye angekuwa refa akichezesha mechi ya Yanga na Simba, angeitendea vipi Yanga? Masala mu kichwa!
Wamekuja marefa toka nje wametafsiri sheria 17 vizuri, matokeo mmeyaona.
Nasikia mikia wamekata rufaa kupinga ushindi wa Yanga wa leo kwa Yanga kumchezesha Niyonzima aliyelimwa kadi nyekundu na refa shabiki wa mikia katika mechi ya Machi 8, teh teh teh!
Niamini mkuu maana ningekuwa nataka kukudanganya ningeweka hata misimu mitatu, lakini nimeangalia nikaona ni msimu huo tu kwa miaka ya karibuni, natumia simu sitaweza kuweka link lakini kama unaweza kuingia kwenye website ya www.Azamfc.co.tz na kuchagua mwaka husika utaona.Naomba link ya msimamo wa ligi mwaka huo, sijaridhika na jibu lako Mkuu.
Niamini mkuu maana ningekuwa nataka kukudanganya ningeweka hata misimu mitatu, lakini nimeangalia nikaona ni msimu huo tu kwa miaka ya karibuni, natumia simu sitaweza kuweka link lakini kama unaweza kuingia kwenye website ya www.Azamfc.co.tz na kuchagua mwaka husika utaona.
Hao marefa mkuu wangekuwa ni wanazi wa Simba tusingetoa draw nyingi hivyo, draw zenyewe karibia timu pinzani zote zilikuwa zinasawazisha tena kipindi cha pili na zingine karibia dakika ya 90 mfano Coastal na Prison, kama wangekuwa ni wanazi si wangeyakataa tu yale magoli ili timu ishinde yao ishinde.
Kadi nyekundu ya Haruna ilikuwa ni halali yake ndo maana hata kocha hakulalamika, tena mna bahati yule refa aliwabeba sana maana kulikuwa na red card kama zingine mbili alizipotezea tu, ya Nadir Haroub alivyompinga kwanja Emmanuel Okwi wakati mpira ushapita na ile ya Dany Mrwanda alivyofanyiwa faulo na Ramadhani Kessy na yeye kurudishia huku akijua kwamba tayari refa alishaamua kitendo kilichokuwa kimefanywa na Ramadhani Kessy ilikuwa ni faulo.
Kwa maelezo hayo naweza kusema refa aliwanufaisha zaidi nyie kuliko sisi.
Bora tu maana ile jumapili ulinihuzunisha sana.
Mzee wa sababu kazini.....JKT Ruvu mtaifunga kwa sababu ya Minziro hilo halina hata ubishi lakini kadri mnavyoenda gap la pointi litabaki kuwa finyu.