Yaliyojiri Yanga Vs FC Platinum

Yaliyojiri Yanga Vs FC Platinum

ila simba dawa yenu!

sawa kwa sababu akili zenu zooooote mnawaza mtaifungaje yanga. nyie sio level yetu sisi tunawaza kuwa machampion kitaifa na kimataifa. that is our goal. our goal sio kuwafunga mikia..beside hatukuweka nguvu zetu hata kidogo kwenye match ya juzi mkatufunga kwa mbindeeee bao moja. tulikuwa tunawaza tutashindaje hii mech ya kimataifa coz hatuna wasi wasi na uwezo wetu VPL. ukija njoo na majibu kwa nini huwezagi kumfunga stand united kama wewe upo vizuri
 
kidume chako stand united bwana halafu bado wajiita kidume kisa una mindevu!!! . yanga international bwana

hapa tunaongelea simba na yanga sasa stand katoka wapi! Umevurugwa kijana km sisi kidume chetu stand basi nyie sisi vidume wenu!
 
اهل yanga اليوم في غاية الفرح،ونرجو ان نخلص مزيحنالذي يكاد ان ينزل من ليغ،وعليه ان يسأل نفسه هل هو مسجل ليلعب مع ينغا فقط؟ستموتون بضغط الدم هذه السنة،هههههههههههههههههههههههههههههه

??????
 
mlipowafunga mbeya city walikuwa marefa wa yanga!! We nae walewale tu huna lolote!

Nenda kakojoe ulale, Mbeya City siyo Simba, leo imekula kwenu! Wewe huna lolote zaidi hata jina lako umeanza na herufi ndogo, kilaza mkubwa huwezi kubishana na vipanga hapa jukwaani. Mwache Masuke mwenye akili tuchati naye, wewe hovyo kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Ndiyo nini nimekumiss hivi??? Kuna Windhoek beer bariiiidiiii hapo Kaizer? Naja chapchap but usimwalike Asprin ha ha hahahaaa nitayakogaje matusi sasa kutoka kwa babuu.!!!

Hahaha atakula kwa macho tu😛😛😛
 
Last edited by a moderator:
hapa tunaongelea simba na yanga sasa stand katoka wapi! Umevurugwa kijana km sisi kidume chetu stand basi nyie sisi vidume wenu!

ni sawa na kuwa na mwanamke mwenye pesa nyingiiii na mwenye maamuzi makubwa kwenye familia kuliko wewe mwanaume. sawa MUME BWEGEEEE
 
Hatupotezi mechi tena. Sikumbuki ni lini Yanga ilipoteza mechi 3 katika msimu wa ligi ukiondoa msimu huu. Tulizopoteza zatosha, sasa ni mwendo mdundo tu hadi ubingwa.
Kumbuka bado mna mechi kumi, kati ya hizo mechi lazima muwe na draw za kutosha na vipigo hamtaviepuka. Msimu wa 2011/2012 mlipoteza mechi saba, kwa hiyo msimu huu hakuna cha ajabu kupoteza mechi zaidi ya tatu.
 
Kumbuka bado mna mechi kumi, kati ya hizo mechi lazima muwe na draw za kutosha na vipigo hamtaviepuka. Msimu wa 2011/2012 mlipoteza mechi saba, kwa hiyo msimu huu hakuna cha ajabu kupoteza mechi zaidi ya tatu.

Naomba link ya msimamo wa ligi mwaka huo, sijaridhika na jibu lako Mkuu.
 
Marefa wanazi wa Simba wanatuua sana. Nashauri TFF wawe wanaleta marefa toka nchi za nje bila kuhusisha nchi 5 za Afrika Mashariki, maana hawa nao wana unazi na hizi timu. Fikiria Musonye angekuwa refa akichezesha mechi ya Yanga na Simba, angeitendea vipi Yanga? Masala mu kichwa!

Wamekuja marefa toka nje wametafsiri sheria 17 vizuri, matokeo mmeyaona.

Nasikia mikia wamekata rufaa kupinga ushindi wa Yanga wa leo kwa Yanga kumchezesha Niyonzima aliyelimwa kadi nyekundu na refa shabiki wa mikia katika mechi ya Machi 8, teh teh teh!
Hao marefa mkuu wangekuwa ni wanazi wa Simba tusingetoa draw nyingi hivyo, draw zenyewe karibia timu pinzani zote zilikuwa zinasawazisha tena kipindi cha pili na zingine karibia dakika ya 90 mfano Coastal na Prison, kama wangekuwa ni wanazi si wangeyakataa tu yale magoli ili timu ishinde yao ishinde.

Kadi nyekundu ya Haruna ilikuwa ni halali yake ndo maana hata kocha hakulalamika, tena mna bahati yule refa aliwabeba sana maana kulikuwa na red card kama zingine mbili alizipotezea tu, ya Nadir Haroub alivyompinga kwanja Emmanuel Okwi wakati mpira ushapita na ile ya Dany Mrwanda alivyofanyiwa faulo na Ramadhani Kessy na yeye kurudishia huku akijua kwamba tayari refa alishaamua kitendo kilichokuwa kimefanywa na Ramadhani Kessy ilikuwa ni faulo.

Kwa maelezo hayo naweza kusema refa aliwanufaisha zaidi nyie kuliko sisi.
 
Naomba link ya msimamo wa ligi mwaka huo, sijaridhika na jibu lako Mkuu.
Niamini mkuu maana ningekuwa nataka kukudanganya ningeweka hata misimu mitatu, lakini nimeangalia nikaona ni msimu huo tu kwa miaka ya karibuni, natumia simu sitaweza kuweka link lakini kama unaweza kuingia kwenye website ya www.Azamfc.co.tz na kuchagua mwaka husika utaona.
 
Niamini mkuu maana ningekuwa nataka kukudanganya ningeweka hata misimu mitatu, lakini nimeangalia nikaona ni msimu huo tu kwa miaka ya karibuni, natumia simu sitaweza kuweka link lakini kama unaweza kuingia kwenye website ya www.Azamfc.co.tz na kuchagua mwaka husika utaona.

Yanga kabakiza mechi 8, Simba 6
 
Hao marefa mkuu wangekuwa ni wanazi wa Simba tusingetoa draw nyingi hivyo, draw zenyewe karibia timu pinzani zote zilikuwa zinasawazisha tena kipindi cha pili na zingine karibia dakika ya 90 mfano Coastal na Prison, kama wangekuwa ni wanazi si wangeyakataa tu yale magoli ili timu ishinde yao ishinde.

Kadi nyekundu ya Haruna ilikuwa ni halali yake ndo maana hata kocha hakulalamika, tena mna bahati yule refa aliwabeba sana maana kulikuwa na red card kama zingine mbili alizipotezea tu, ya Nadir Haroub alivyompinga kwanja Emmanuel Okwi wakati mpira ushapita na ile ya Dany Mrwanda alivyofanyiwa faulo na Ramadhani Kessy na yeye kurudishia huku akijua kwamba tayari refa alishaamua kitendo kilichokuwa kimefanywa na Ramadhani Kessy ilikuwa ni faulo.

Kwa maelezo hayo naweza kusema refa aliwanufaisha zaidi nyie kuliko sisi.

Sawa Mkuu, nimepitia kumbukumbu ni kweli tulipoteza mechi 7 ule mwaka wa 2011/2012 baada ya wachezaji wetu 6 kufungiwa kwa lile sokomoko la yule refa. Mazingira ya ule mwaka ni tofauti na mwaka huu. Bila shaka nanyi mliishia hapo kuwa mabingwa hata leo.
 
Naomba link ya msimamo wa ligi mwaka huo, sijaridhika na jibu lako Mkuu.

VPL.jpg
 
Back
Top Bottom