Hahahaaa, mkuu tuko pamoja lakini sio vizuri kuwadhalilisha wazee wetu bwana.
Mpira ni burudani tu, natanguliza samahani!
Mkuu ni kukoleza tu utani wa jadi si unajua wote tukiwa upande mmoja jamvi halitapendeza.Da! Umemaliza vbaya ka nn' ila uwepo humu hadi mwsho.
Bantu lady habari ya siku dadangu,
uko poa lakini.
Ushindi leo ni muhimu kuliko chochote maana upande wa pili mh....
Bantu lady kumbe na NGANU naye kaka yako...ninamashemeji wengi aiss...
Uhakika mdogo wa kuonyesha hii game.Mechi hii Azam Tv wanaonesha?
Halafu mkorofi kweli wewe kiumbe,
tusubili saa kumi tushangilie .
Bantu lady habari ya siku dadangu,
uko poa lakini.
Ushindi leo ni muhimu kuliko chochote maana upande wa pili mh....
hawa Platinum wameshanikera na jezi zao, wapigwe tu
Mimi Leo niko FC platinum
mnasaka huruma mmesahu ya TP Mazembe
Vipi Danny Marwanda?
mbona hayo mazungumzo mara nyingi huwa yanafeli? ukiona unaenda sokoni kuuza nyanya alafu zinaoza unarudi nazo nyumban bas ww una matatizo. tena afafhali nyanya kuliko mpira ambao unaexpire baada ya dk 90! tafakari
Unavyoongea utadhan hata danadana unaweza kupiga
Pamoja sana mkuu, hao Diamond lazima wachezee kichapo cha haja.Tusubiri tu time zenyewe ndio zishakaribia.Hahahaaa tupo pamoja mkuu natengua kauli yangu ila yanga inatakiwa ipeleke kipigo kizito kwa hawa wazimbabwe