Sasa watu watakaa seemu gani au ndani ya madauuwanja wa Amani Zanzibar umefurika hasa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa watu watakaa seemu gani au ndani ya madauuwanja wa Amani Zanzibar umefurika hasa
Vipinzani vya Tanzania vingi ni vitoto, limbukeni, na vyenye mihemuko ya kijinga.Mnahangaika sana na marehemu muacheni aende, watu kujitokeza kumuaga msitafute visingizio, uwanja wa uhuru wamekanyagana wamekufa RIP, hawakupelekwa na lumumba wale.
Ili upinzani uwe na maana, sio kupinga kila kitu hata kwa hoja za kitoto, vingine nyamaza vipite tu.
Jamaa itakuwa mchawi, hivi au ndio amegeuka malaika, kwa hiyo yeye hakuingia kwenye eropleni na weziwe.Mwili ndio unatua Zanzibarkiwanja cha Abeid Aman Karume International Airport
Mpendwa wa mataga na praise team yakeMpendwa wa wapi
Mataga ndo Viongozi wenye mamlaka juu yenu na itaendelea kuwa hivyo, vumilieni tu maana hakuna namna.MATAGA kazini
Zingatia Imani yake pia.Hata Maalimu Sefu ni mpendwa wa wengi lakini hatuyaona tunayoyaona
Yaani watu kumpa heshima Marehemu umeshatafsiri kuwa Marehemu alikuwa anapendwa?Acheni kejeli, ni JPM ni mpendwa wa wengi, acheni wamuoge ili wapate closure, kama mnaona wivu sana mwambieni Lissu na yeye afe aagwe na mashoga zake huko Belgium.
TATIZO umevamia treni kwa mbele wakati ipo kwenye speed kaliMataga ndo Viongozi wenye mamlaka juu yenu na itaendelea kuwa hivyo, vumilieni tu maana hakuna namna.
Wacha ubaguzi wa dini wewe MATAGAZingatia Imani yake pia.
NA pia ni adui wa wengi zaidi.Acheni kejeli, ni JPM ni mpendwa wa wengi, acheni wamuoge ili wapate closure, kama mnaona wivu sana mwambieni Lissu na yeye afe aagwe na mashoga zake huko Belgium.
Wanaonuka kizembe ni walala hoi wanaokufa kibudu, watu wanakalishwa hata mwezi seuze huyu wa wiki kadhaa? Huu muda unaotumia kuzurura humu jF ungeutumia kutafuta hela Ili siku ukifa usife kibudu ukanuka ndani ya siku moja, tutakufukia kama mbwa. Tafuta hela.Mwisho atanuka sasa mkuu watu wakimbie, angekuwa hai angewazaba makofi coz mnamdhalilisha kwakuwa kashakata ringi.
Hayo majitu sijui kichwani mwao wamejaziwa kitu gani badala ya ubongo.Yaani watu kumpa heshima Marehemu umeshatafsiri kuwa Marehemu alikuwa anapendwa?
Lini mtatofautisha mambo ya kisiasa/uongozi na mambo ya kijamii kama vile kifo?
Sure.Vipinzani vya Tanzania vingi ni vitoto, limbukeni, na vyenye mihemuko ya kijinga.
Daaah kwa hizi akili za kijinga hivi, sijui tu[emoji28]. Kwahiyo wewe hapa Duniani hupaswi kufanya kitu kwakua utakufa? Nikukumbushe tu kitu kimoja, hapa duniani uwe mwema kwa watu kupita kiasi kama malaika,Uwe katili mwenye roho mbaya (kama mnavyomuita Magufuli), kukikubwa kufa utakufa tu.Dunia uwanja wa fujo sana. Alifurahia kutumbua majipu huku anachekelea kweli anafurahaaaa!! Wakati wengine wanaomboleza.
Na yeye Covid imemtumbua mahela,yote na chato yote mpamoja na midege ya Bomba dear love!
Kayaachia katikati hakukatiza nalo baharini. Sasa wanakuja kufaidi wengineeee!!!!
Ndo mjue Mungu si wa kisport sport!!! Udongo tani tano una msubiri chato kummeza!
Kwaheri jiwe kaburudoze ahera!!!
Hata huyu aliyepo akiirudisha nchi katika ile misingi a Kikwete, utaona tena nyuzi humu za kulalamikia kuwa analea sana watu[emoji28]. Yani huwezi ridhisha wote mkuu, nilichogundua muda mwingine unapokuwa kiongozi unatakiwa ufunge vioo uchape kazi bila kusikiliza maneno maneno.Nchi ilipokuwa haina ndege tuliponda
Wamenunua tunaponda
Ova
Kinachoumiza zaidi ni kwamba, hata wewe usieabudiwa kama huyo, ambae si dictator kama yeye, utakufa. Nini faida ya wewe kuwa tofauti na Magufuli?View attachment 1732232
Sasa kitu ndani ya Box
Nakukumbusha kuwa, uhuru wa habari wa kijinga badi si kipaumbele cha CCM. Hakuna uhuru usiokuwa na mipaka.Leo akili imekurudia ndio unajua kuna Uhuru wa habari?
Mama Janet na familia yake wanateseka Sana,Ila mgemzika tu mzee wetu mnafanya dhambi kubwa