Yaliyojiri Zanzibar kuaga mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli

Yaliyojiri Zanzibar kuaga mwili wa Hayati Dkt. John Magufuli

Eeee Mungu tazama hiki kizazi kinavyosifu Msafara wa mtu aliefariki...halafu watu wakifurahi kwa sababu kafa magufuli munawakamata nyie hizi munazofanya sio sifa au sio sherehe kusherehekea watu wamejitokeza kila sehemu kulipotu?
 
Magufuli alikua wa CCM ameondoka kimwili lakini kifikra anaishi ndani ya mioyo ya Watanzania, na CCM imara pamoja na serikali makini alivyojenga bado ipo chini ya uongozi makini aliouacha wa Rais Samia Suluhu Hassan 😍🇹🇿🔥

Hongera sana kwa CCM hakika wa kuwaondoa marakani atafute kitanda alale tuu maana atasubiri karne.

Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan 🇹🇿😍🔥

Apumzike kwa amani Dr John Pombe Joseph Magufuli 💔💔🙏
 
Sasa utafurahi vipi kifo cha mwenzio.
Yaani huyo alitakiwa apite mikoa yote ya tanzania .
Eeee Mungu tazama hiki kizazi kinavyosifu Msafara wa mtu aliefariki...halafu watu wakifurahi kwa sababu kafa magufuli munawakamata nyie hizi munazofanya sio sifa au sio sherehe kusherehekea watu wamejitokeza kila sehemu kulipotu?
 
Maelfu ya Wakazi wa Zanzibar leo wameuaga mwili wa Hayati John Pombe Magufuli kwa heshima kubwa huku wakifurika barabarani....

Kazi aliyoifanya Magufuli sio ndogo, wacheni Watanzania wamlilie, waacheni wampe heshma ya mwisho maana ndio mwisho wa kumuona

Mungu akamuongoza kama mwenyekiti wa chama akahitimisha kwa Hussein Mwinyi kuwa rais wa Zanzibar na Samia Suluhu Hassan Jamhuri ya muungano wa Tanzania

Alale salama Mwamba💔🙏
 
Uchaguzi mkuu 2020, sitakaa niusahau

Utasahau vipi kwa kile kipigo walichopewa vibaraka
Na sasa kazi ndio imeanza upyaaaaa

Mungi ibariki Tanzania Mungu mbariki rais wetu Samia Suluhu Hassan😍🇹🇿💪
 
Maelfu ya Wakazi wa Zanzibar leo wameuaga mwili wa Hayati John Pombe Magufuli kwa heshima kubwa huku wakifurika barabarani...
Kumbe ni mashindano ya mkoa upi utatoa watu wengi barabarani,ndio maana mnamtembeza Hayati JPM kama mwenge?
 
Mnahangaika sana na marehemu muacheni aende, watu kujitokeza kumuaga msitafute visingizio, uwanja wa uhuru wamekanyagana wamekufa RIP, hawakupelekwa na lumumba wale.

Ili upinzani uwe na maana, sio kupinga kila kitu hata kwa hoja za kitoto, vingine nyamaza vipite tu.
Chukua Cocacola mbili na Fanta tatu mwana natuma hela na ya kutolea just send the number
 
Naomba nitoe ufafanuzi tumepitia Post mbali mbali hapa kwenye jukwaa tumeona watu wengi wakihojii kwanini hatumpumzishi mpendwa wetu..
protocol hazibadiliki. utaratibu wa nchi haubadiliki eti sababu kiongozi alikuwa wa dini fulani. nope.
haijalishi ni wa dini gani. protocol za kiusalama ziko pale pale
 
Back
Top Bottom