Mi nilichomwa Astrazenica,siku ya kwanza nilikuwa poa,ya pili nilihis homa kidogo na kichwa lakini nilikuwa sinywi dawa,baadae nikaamua ninywe paracetamol nikawa poa tu.Wife kapata Moderna ye yupo poa,ivo inategemea na mwili wa mtu sababu kitu kipya kinaingia mwilini.lakin nashkuru nimejikinga,mengine tutaomba Mungu, we have done our part.