#COVID19 Yaliyonikuta baada ya kuchomwa chanjo ya COVID-19

#COVID19 Yaliyonikuta baada ya kuchomwa chanjo ya COVID-19

Mi nilichomwa Astrazenica,siku ya kwanza nilikuwa poa,ya pili nilihis homa kidogo na kichwa lakini nilikuwa sinywi dawa,baadae nikaamua ninywe paracetamol nikawa poa tu.Wife kapata Moderna ye yupo poa,ivo inategemea na mwili wa mtu sababu kitu kipya kinaingia mwilini.lakin nashkuru nimejikinga,mengine tutaomba Mungu, we have done our part.
 
Mi nilichomwa Astrazenica,siku ya kwanza nilikuwa poa,ya pili nilihis homa kidogo na kichwa lakini nilikuwa sinywi dawa,baadae nikaamua ninywe paracetamol nikawa poa tu.Wife kapata Moderna ye yupo poa,ivo inategemea na mwili wa mtu sababu kitu kipya kinaingia mwilini.lakin nashkuru nimejikinga,mengine tutaomba Mungu, we have done our part.
Kweli kabisa, Mungu atatulinda
 
Hata mi niko freeesh tu, hamna kitu ila nilisahau kuuliza sijui nimechanja ipi. Cheti watanipigia simu nitaenda kuuliza chanjo gani nimedungwa ? Hafi mtu hapa
 
Hiyo kitu ipishe mbali
Sihitaji hats kuiona
Bado nahitaji kuishi na kuzaa
Sihitaji kuwa zombi Mimi
 
Hata mi niko freeesh tu, hamna kitu ila nilisahau kuuliza sijui nimechanja ipi. Cheti watanipigia simu nitaenda kuuliza chanjo gani nimedungwa ? Hafi mtu hapa
Me cheti nilipewa jana jioni kupitia email, kama ulifanya booking online watakutumia kwa email. Kama ulifanya manually nadhani inabidi ukafatilie ulipochomea
 
Niliumwa kichwa kwa siku mbili mfululizo. Tena haswa. Mama kidogo. Hakikua kinasikia hata panadol. Diclopar ndo iliniiokoa. Am now good. Siku 2 tu kilinisumbua.
 
Niliumwa kichwa kwa siku mbili mfululizo. Tena haswa. Mama kidogo. Hakikua kinasikia hata panadol. Diclopar ndo iliniiokoa. Am now good. Siku 2 tu kilinisumbua.
Kumbe hata nikitumia diclopar haina shida maana maumivu bado ninayo. Tena nahisi jioni hali inaweza nibadilikia
 
Mapimbi na misukule ya Gwaji boy bado mpoo kumbe?
Hasira za nini sasa? Wewe ni ndondocha ni ndondocha tu. Utafanya nini sasa? Ujua hata hayo matusi ni madhara ya chanjo? Poleni sana. Ageni kabisa famlia zenu maaana hamfahanu kama mtaweza kukumbuka kitu au kuandika wosia.
 
Mimi na mke wangu tulichoma siku moja.Mimi nilipata homa kali usiku, lakini mke wangu hakupata shida yoyote.
Baada ya siku moja nikawa fresh.
Mabadiliko niliyoona ni kwamba sasa hivi sisumbuliwi na mafua tena. Kawaida mke wangu akipata mafua huwa ananiambukiza na yananisumbua,lakini juzi alipata mafua lakini mimi ninadunda tu.
Asante sana Johnson& Johnson 😁
 
Duh!
Mbona Mimi nimechoma tarehe 13 August na sijahisi chochote Cha ajabu zaodi ya kaganzi flani kwa mbaali kwenye bega pale nilipochomea sindano ambayo ilidumu kama siku tatu au nne tu ikapotea na mpaka sasahivi Niko fiti na hata siku niliyochoma hiyo chanjo kazi nzito za kutumia nguvu nilikuwa nafanya Kama kawaida.
Anyway Kama ni kweli Basi pole Sana na hongera kwa uamuzi wa kupata chanjo.
Hata mimi nilidungwa jj sikujisikia chochote!
 
Mimi tulienda wawili kuchoma mimi sikupata shida mwenzangu kichwaa kiliuma usiku kucha baridi kutetemeka na kutoka jasho ilikua jumatano ila leo ni mzima.
Kesha iingiza ubovu mwilini mwake, muda ndiyo utaongea,kwa Sasa bado mapema mno kuona madhara yajayo!! Lakini asanteni sana kwa kujitolia na kukubali kufanywa kua majaribio ya Chanjo bila malipo, huo ndiyo uzalendo hasa,mmewapita hata Wanajeshi wanaoenda vitani, mmeamua kujivisha mabomu ya Chanjo!!
 
Back
Top Bottom