#COVID19 Yaliyonikuta baada ya kuchomwa chanjo ya COVID-19

Watu mna moyo aisee
 
Kongole
 
Yani mimi walinicheleweshea hii chanjo. Since jamaa hajadead nilikuwa naitamani sana ije nichome. Maana nilipomsikia tu anasema tumeishinda corona kwa maombi ya siku tatu nikaona chenga tu hapa bongo
 
Hii sio chanjo ya bure serikali imenunua kupitia mkopo ambao tutalipa kama taifa,wasiwasi wangu ni mmoja tumekopeshwa mapesa mengi tununue chanjo watu wasipoenda kuchoma tutapeleka wapi hizo chanjo?
Attendance ni ndogo kwenye vituo
 
Hasira za nini sasa? Wewe ni ndondocha ni ndondocha tu. Utafanya nini sasa? Ujua hata hayo matusi ni madhara ya chanjo? Poleni sana. Ageni kabisa famlia zenu maaana hamfahanu kama mtaweza kukumbuka kitu au kuandika wosia.
Ngoja yaje yakupate mateso ya kuugulia covid 19 utakuja tusimulia hapa au hao ndugu zako unaowadanganya
 
Me cheti nilipewa jana jioni kupitia email, kama ulifanya booking online watakutumia kwa email. Kama ulifanya manually nadhani inabidi ukafatilie ulipochomea
Ok shukrani sana ni kule maneromango, kisarawe itabidi niende.
 
Nilichoma toka 6/8 na haikuisumbua kwa lolote zaidi ya maumivu ya sindano yenyewe for some days...
 
Hiyo kitu ipishe mbali
Sihitaji hats kuiona
Bado nahitaji kuishi na kuzaa
Sihitaji kuwa zombi Mimi
Sisi wenzenu tuna maamuzi magumu. Tumekiangalia kifo usoni na kusema mi nachanja njoo niue basi.

Baada ya kuchanja hamna kitu.
Kuna waliochanja mbele yetu bado kidogo kumaliza mwaka wako fresh tu na Mungu atajalia.

Sasa nyie wenzetu ukiona tu husikii ladha na mbavu zinabana basi aandika wosia.
Ile hofu tu ya Lohh kumbe, itakuua.
 
Ambao mnaogopa kuchanja mna kihoro kikubwa cha kuogopa kifo.
Sawa death is a subject which makes most people uncomfortable to talk about,
but then you must appreciate that against all odds there are some chaps like us (me) who dared to face death one on one by taking the jab not knowing what will happen afterwards.
So far am in good health thank God the Almighty i don't expect to kick the bucket anytime soon.
 
Mara nyingi chanjo zina reaction fulani mwilini. Mimi hii sijachanja bado lakini nitafanya hivyo soon.
Nilichanja yellow fever ukubwani nikapata homa kali baada ya siku kama mbili hivi. Hata pain killer sikutumia, nilipumzika tu na kunywa maji mengi ikaisha. Hii yellow fever nilichanja japo nilikua na cheti tayari 🤣 🤣 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…