#COVID19 Yaliyonikuta baada ya kuchomwa chanjo ya COVID-19

Inabid ufanye checkup ya malaria ujitibie kama ipo ili homa ya chanjo isiamshe homa ya malaria ya MUNGU utayaona
 
Mimu nilibadilika kuwa zombie ndanu ya masaa 24 baada ya hapo nikawa normal
 
Kumbe hata nikitumia diclopar haina shida maana maumivu bado ninayo. Tena nahisi jioni hali inaweza nibadilikia
Yes. Pigaa diclipar. Kwangu imesaidia. Kwani hukiambiwa utumie pain killer? Panadol nilimeza ile saa nane usiku haikusaidia. Kulipokucha ndo nikaoiga diclopar
 
Halaf watu wanachukuliaga poa sana johnson and johnson. Wangejua kwanza ubora wa hizi bidhaa na gharama zake wasingekua wanachonga hivi. Nilifanya kazi kampuni kubwa inadeal na products za johnson m johnson (jnj) za kudeal operation hasa mifupa, screws, nyuzi etc. Hizo bei mtu akikuambia unaweza sema anajibrag. Yaan ni ghali mno
 
Ha ha ha.. eti unakuta mtu na akili zake timamu anawaza dunian watu watabadilika kuwa mazombie, amakweli kazi ipo.
Nachekaga hapa tu[emoji28][emoji23][emoji23]

Nimewaambia after hiyo 2 to 5 years wahamie ulaya na america maana hakutakua na watu tena kumebaki mazombie tu
 
Nachekaga hapa tu[emoji28][emoji23][emoji23]

Nimewaambia after hiyo 2 to 5 years wahamie ulaya na america maana hakutakua na watu tena kumebaki mazombie tu
Ila Bongo kweli ni ushenzini. Kumbe watu wanapokwenda kuchomwa hawaulizwi maswali yoyote na kuambiwa side effects za kawaida zinazoandamana na chanjo na pia zile za hatari ambazo wanatakiwa kwenda hospital wakizipata? Karatasi siyo gharama kubwa, yaani serikali imeshindwa kuchapisha vipeperushi ambavyo watu watapewa baada ya kuchoma chanjo? Ona mleta mada anashangaa alipoambiwa asubiri kidogo, hata hajui ni kwa nini! Very lazy and incompent people indeed.
 
Issue ya kutosikia harufu zishawatokea sana watu tena kuna uzi humu watu wanaelezea watu washakutana na hizo hali za kushindwa kunusa,kutopata radha na kubanwa pumzi.
 
Hivi na si kuna makundi ya watu ambao hawatakiwi kuchanjwa?
 
Mi tangu nimechoma silewi kabisa pombe, kiwango cha unywaji kipo juu sana hadi naogopa. Na siku niliyochoma nilipiga sana tungi
 
Subiri kuwa zombie baada ya miaka miwili mkuu!! Pole sana.
 
Katika wenzetu watatu wa kazini waliochoma ni mmoja tu ndio amepata side effect mpk kwenda hospital. Nae alisumbuliwa na kichwa na homa na baridi.

Mie bado najishauri [emoji848]
 
Katika wenzetu watatu wa kazini waliochoma ni mmoja tu ndio amepata side effect mpk kwenda hospital. Nae alisumbuliwa na kichwa na homa na baridi.

Mie bado najishauri [emoji848]
Nenda kachanjwe, me saiv naendelea fresh. Naamin kesho nitakuwa mzima kabisa maana saiv napiga gkass za maji tu
 
Mie siku ya 8/8 nilienda kumjulia hali mgonjwa mmoja hospitali, pale mapokezi nikakuta kuna benchi la chanjo ya Covid.Bila ajizi nikachanjwa, sasa kesho yake trh 9/8 nilikumbana na hali kama hiyo, kichwa na homa. Kuwauliza waganga wakanishauri nitumie dawa za kutuliza maumivu tu!.Nashukuru Mungu ilipofika trh 10/8 asubuhi ile hali ya kuumwa kichwa na homa iliisha kabisaa!!! mpaka sasa nipo mzima wa afya tele.Wana JF twendeni tukapate chanjo!!!!
 
Mbongo wanakuchoma,Kama kundondoka kadondookee kwenu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…