Yaliyonikuta jana!!

  • Thread starter Thread starter Deleted member 485868
  • Start date Start date
hahaha
 
Jini ana uwezo wa kujibadilisha kuwa binadam lakin kamwe hawezi akabadilsha macho yake yakawa na kiini cheusi kama macho yetu. Mim pia nilikutana nae lakin kabla sijakaribiana nae mwili ulisisimka, nikajua tu hapa kutakuwa na kitu kibaya. Na kweli nilipomuona na akagundua kuwa nimemuona macho yake alitoweka ghafla sijui hata huwa wanayeyukia wapi. Utachangaa tu anaanza kupotea taratib Mara ghafla humuoni. Sehem zenye watu wengi huwa wanapenda sana kujumuika na binadamu
 
Nilikua nasikiaga tu kariakoo wapo wengi...sikua naamini..ndio juzi yakatokea yakutokea
 
Nilikua nasikiaga tu kariakoo wapo wengi...sikua naamini..ndio juzi yakatokea yakutokea
Huwa wanapendelea saaaana kuwafata wanawake kuliko wanaume,mi nilikutana nae kwa dharura tu ilikuwa kwenye daladala,alilipa nauli ya kwenda mpaka mwisho wa gari lakin nilipomgundua Tu alishuka kituo kilichofata. Alikuwa kavaa mawan tinted,sasa wakat anafuta jasho na kutoa mawan ndo nikamuona na alionsha hali ya kustuka baada ya kumuona
 
Daaa!!!! Unaweza
Ukatupa experince yako nyingine kuhusu Hawa viumbe????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…