Yaliyonikuta jana!!

Yaliyonikuta jana!!

  • Thread starter Thread starter Deleted member 485868
  • Start date Start date
Nimecheka sana mkuu!! Sio kiislam sema kiarabu na kuna tofauti kubwa kati ya uarabu na uislam na Poa niambie kuna utamaduni na imani, waafrika wengi hudhani kwamba uislam and ni pamoja na utamaduni wa kiarabu! Au ukristo ni pamoja na kuvaa kizungu yaani suti na tai! Ni mada nndefu inahitaji uzi wake
hahaha
 
Habari zenu wana Jf

Nianze na mkasa ulionikuta jana..mida flani hivi nilienda kariakoo na Dada yangu..katika mizunguko yetu yeye alikua mbele mimi nyuma

Sasa si mwajua kariakoo ilivyo na watu wengi..nikiwa katika mshangao wa kushangashangaa nguo ghafla nikapigana kikumbo na mdada amevaa baibui ameziba macho kama avatar ya madame s

Yani nikaganda ghafla uku nikimuangalia tu..akafika mbele akageuka..lahaullah!! Macho ya yule dada sikuyaelewa hata kidogo alafu yalikua hayatulii kile kiini cheusi kinafanana na kiini cha paka

Nikasema hapana sikuamini nilichokiona nikageuka kuangalia mbele huku nikijiuliza kama yule ni mtu

Nikageuka tena nyuma alikua amefika mbali lakini bado aliponiangalia macho yalikua vilevile...ghafla Dada akaniita jina langu nikaitikia "aliniuliza vipi mbona umesimama tu hapo" sikumjibu kitu

Nikageuka kwa mara ya mwisho sikumuona tena yule dada

Yani nilinyon'gonyea hadi tunatoka kariakoo bado najiuliza..hivi nilikutana na jini ama kuna binadamu wenye macho ya vile!!!

Hayo ndio yaliyonikuta siku ya jana mwenzenu
Jini ana uwezo wa kujibadilisha kuwa binadam lakin kamwe hawezi akabadilsha macho yake yakawa na kiini cheusi kama macho yetu. Mim pia nilikutana nae lakin kabla sijakaribiana nae mwili ulisisimka, nikajua tu hapa kutakuwa na kitu kibaya. Na kweli nilipomuona na akagundua kuwa nimemuona macho yake alitoweka ghafla sijui hata huwa wanayeyukia wapi. Utachangaa tu anaanza kupotea taratib Mara ghafla humuoni. Sehem zenye watu wengi huwa wanapenda sana kujumuika na binadamu
 
Jini ana uwezo wa kujibadilisha kuwa binadam lakin kamwe hawezi akabadilsha macho yake yakawa na kiini cheusi kama macho yetu. Mim pia nilikutana nae lakin kabla sijakaribiana nae mwili ulisisimka, nikajua tu hapa kutakuwa na kitu kibaya. Na kweli nilipomuona na akagundua kuwa nimemuona macho yake alitoweka ghafla sijui hata huwa wanayeyukia wapi. Utachangaa tu anaanza kupotea taratib Mara ghafla humuoni. Sehem zenye watu wengi huwa wanapenda sana kujumuika na binadamu
Nilikua nasikiaga tu kariakoo wapo wengi...sikua naamini..ndio juzi yakatokea yakutokea
 
Nilikua nasikiaga tu kariakoo wapo wengi...sikua naamini..ndio juzi yakatokea yakutokea
Huwa wanapendelea saaaana kuwafata wanawake kuliko wanaume,mi nilikutana nae kwa dharura tu ilikuwa kwenye daladala,alilipa nauli ya kwenda mpaka mwisho wa gari lakin nilipomgundua Tu alishuka kituo kilichofata. Alikuwa kavaa mawan tinted,sasa wakat anafuta jasho na kutoa mawan ndo nikamuona na alionsha hali ya kustuka baada ya kumuona
 
Jini ana uwezo wa kujibadilisha kuwa binadam lakin kamwe hawezi akabadilsha macho yake yakawa na kiini cheusi kama macho yetu. Mim pia nilikutana nae lakin kabla sijakaribiana nae mwili ulisisimka, nikajua tu hapa kutakuwa na kitu kibaya. Na kweli nilipomuona na akagundua kuwa nimemuona macho yake alitoweka ghafla sijui hata huwa wanayeyukia wapi. Utachangaa tu anaanza kupotea taratib Mara ghafla humuoni. Sehem zenye watu wengi huwa wanapenda sana kujumuika na binadamu
Daaa!!!! Unaweza
Ukatupa experince yako nyingine kuhusu Hawa viumbe????
 
Back
Top Bottom