Yaliyonikuta jana!!

Yaliyonikuta jana!!

  • Thread starter Thread starter Deleted member 485868
  • Start date Start date
-Nimelazimika japo kuchunguza uzi ulizowahi kuandika ili kidogo ziweze kunisaidia kupata picha ya aina ya akili mlazo uliyonayo.

-Niliyoyakuta uko ya kina diamond na wema sepetu yametosha kuniambia 'you are nothing but another biological mistake'..infact umekuwa ukiifuatilia sana hii i.d The List nachoshindwa kuelewa unawezaje kuwa na chuki na mtu usiemjua tena anaetumia i.d feki.

Haingii akilini kwa sie waungwana yaani unawezaje kumkariri mtu kwa i.d feki..? Chuki yako kwa The List imevuka kipimo cha kawaida na unahitaji msaada dogo. Niliwahi kuwaambia wenzako kipindi cha nyuma kama unaona unakereka na The List kwanini usi-muignore tu..ajabu ni kwamba wale wanaojinasibisha kuwa wanamchukia The List ndio haohao mashabiki na kila uchao hamuishi kuwashwa kumfuatilia.

- Kuhusu hiyo Banned ni lini ulisikia The List kaandika andiko la ama kulalamika au kulia kwa kupewa iyo BAN? Hujiulizi ni kwanini halalamiki? Je amewahi kurudi nyuma katika uandishi wake wa kukosoa/kurekebisha pale ambapo watoa mada wanakengeuka kutokana na hizo BAN?

>>The List siyo 'teja'/mshamba wa mitandao kama wewe dogo.

-Nimeona umeandika uzi unalalamika kuwa mtu anaeitwa 'Nyani Ngabbu' alikutukania shangazi yako aliyefariki..kwa hiki kimbelembele chako sishangai wewe kufikwa na 'mtusi' kama huo. Mimi usinijaribu dogo nikiamua kuku 'pumulia' sio utaandika uzi tu utajinyonga kabisa.

-Mwisho tafuta shughuli ya kufanya dogo..maana nimeona uzi zako zote ni za 'kidaku' na 'ushankupe' zinazodhihirisha huna unachojua zaidi ya 'wema sepetu'. Uzi zinaonyesha una maisha magumu sana na huna shughuli zaidi ya kujifariji kwa kushinda 'mitandaoni' ndio sabab unahisi wote ni 'mateja' kama ww. Pathetic mosquito.

'Dont hunt what you cant kill'
SIONGEI NA MBWA NAONGEA NA MWENYE MBWA. NA MBWA UKIMJUA JINA HAKUPI TABU.
 
-Nimelazimika japo kuchunguza uzi ulizowahi kuandika ili kidogo ziweze kunisaidia kupata picha ya aina ya akili mlazo uliyonayo.

-Niliyoyakuta uko ya kina diamond na wema sepetu yametosha kuniambia 'you are nothing but another biological mistake'..infact umekuwa ukiifuatilia sana hii i.d The List nachoshindwa kuelewa unawezaje kuwa na chuki na mtu usiemjua tena anaetumia i.d feki.

Haingii akilini kwa sie waungwana yaani unawezaje kumkariri mtu kwa i.d feki..? Chuki yako kwa The List imevuka kipimo cha kawaida na unahitaji msaada dogo. Niliwahi kuwaambia wenzako kipindi cha nyuma kama unaona unakereka na The List kwanini usi-muignore tu..ajabu ni kwamba wale wanaojinasibisha kuwa wanamchukia The List ndio haohao mashabiki na kila uchao hamuishi kuwashwa kumfuatilia.

- Kuhusu hiyo Banned ni lini ulisikia The List kaandika andiko la ama kulalamika au kulia kwa kupewa iyo BAN? Hujiulizi ni kwanini halalamiki? Je amewahi kurudi nyuma katika uandishi wake wa kukosoa/kurekebisha pale ambapo watoa mada wanakengeuka kutokana na hizo BAN?

>>The List siyo 'teja'/mshamba wa mitandao kama wewe dogo.

-Nimeona umeandika uzi unalalamika kuwa mtu anaeitwa 'Nyani Ngabbu' alikutukania shangazi yako aliyefariki..kwa hiki kimbelembele chako sishangai wewe kufikwa na 'mtusi' kama huo. Mimi usinijaribu dogo nikiamua kuku 'pumulia' sio utaandika uzi tu utajinyonga kabisa.

-Mwisho tafuta shughuli ya kufanya dogo..maana nimeona uzi zako zote ni za 'kidaku' na 'ushankupe' zinazodhihirisha huna unachojua zaidi ya 'wema sepetu'. Uzi zinaonyesha una maisha magumu sana na huna shughuli zaidi ya kujifariji kwa kushinda 'mitandaoni' ndio sabab unahisi wote ni 'mateja' kama ww. Pathetic mosquito.

'Dont hunt what you cant kill'
ENDELEA KUFUATILIA MAISHA YA WANAUME WENZIO NAJUA FIKA UNAFUNGUA PROFILE ZA WANAUME WENZIO UNACHUNGULIA NA UNACHOCHUNGULIA AMA KUTAFUTA HAKIJULIKANI, HIZI NI TABIA ZA KIKE
HII NI FORUM HURU NDIO MANA KUNA UHURU WA KUTOA HABARI YOYOTE UNAYOJISKIA KUTOA, KAMA UNAVYOTOA WEWE HABARI LAKINI SIO MAHALI PA KUANDIKA UCHAFU WA MANENO UNAYOOANDIKAGA KILA KUKICHA KUTAFUTA UMAARUFU SIJUI UNAMTAFUTIA NANI UMAARUFU, LABDA WANAWAKE ILI UPENDWE LAKINI ATAKUA MWANAMKE MPUMBAVU AMBAYE ATAKUA ANAKUBALI MATUSI NA UCHAFU UNAOANDIKAGA HUMU UKIWA QUOTE WATU NDIO.MANA SISHANGAI BANNED KILA MARA HIO TU INASADIKI AKILI YAKO ILIVYO, NARUDIA KUSEMA MBWA UKIMJUA JINA HAKUPI SHIDA HATA AKIBWEKA HADI KOO LIKAUKE ATABAKI MBWA TU NA UKIMUITA ANAITIKA MANA ANAJIJUA NI MBWA..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleni sana...napata picha mbio mlizokua mnazitoa na ule mchanga wa beach ilikuaje

Mkuu, kwenye hatari kama hiyo mtu huwa anapata nguvu za ajabu, anakimbia balaa mpaka unayemtazama unaweza kushindwa kujua ni me au ke!
 
Back
Top Bottom