Yaliyonikuta jana!!

  • Thread starter Thread starter Deleted member 485868
  • Start date Start date
Kwenye ubora wako sasa namsubiri na Mbalizi1 [emoji23][emoji23]
 
Nikageuka kwa mara ya mwisho sikumuona tena yule dada

Si alikuwa keshapotelea ki kawaida tuu maana kwa maeneo km yale huwez muona muda wote
 
Nikageuka kwa mara ya mwisho sikumuona tena yule dada

Si alikuwa keshapotelea ki kawaida tuu maana kwa maeneo km yale huwez muona muda wote
Najua alikua keshapotea ila bado nilikua na shauku ya kumuangalia
 
Usishituke mkuu, majini au hawa ndugu zangu wapo na always tupo nao katika maisha yetu ya kawaida tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…