Gormahia
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 515
- 352
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakuja kuimalizia saa ngapi mkuu? Hii haijaishaIlikuwa mwanzoni kabisa mwa mwaka 2000 nikiwa nyumbani pamoja na wazazi wangu katika mji mdogo wa tunduma karibu kabisa na shule ya msingi maporomoko.
Endelea mkuu bado haijaishaSafari ya kuelekea ziwani ikaanza tukapita vijiji kadhaa ,.baada ya Saa nzima tukaingia nankanga Kijiji Cha mwisho kabla hujalifikia ziwa. Hiyo ilikuwa yapata Saa mbili hivi ,tulikatiza kwenye mapori yaliyoshona kweli kweli Kila muda nikawa nahisi
Anaandika kwa hisia yaweza ikawa anaandika huku anamwaga chozi na hana vidole mvumilie tu mkuuDaaaahhh.
Jf ipige marufuku mtu kuleta story robo robo
Kwamba mzee alikuwa sahihi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bora Mzee wako alikataa tu kukupeleka chuo maana huu Uzi ulivyoishia inaonyesha weww n mzembe kama huyo mama wa kambo
Nilimis story za aina hii..chamsingi usikomee njia kama bwana yule wa mpwanyungu.Ilikuwa mwanzoni kabisa mwa mwaka 2000 nikiwa nyumbani pamoja na wazazi wangu katika mji mdogo wa tunduma karibu kabisa na shule ya msingi maporomoko.
Alikuwa sahihi kabisa maana jamaa asingemaliza chuoKwamba mzee alikuwa sahihi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu nikiri wazi kwamba huko nilitoka miaka mingi sana zaidi ya 20, ninavyofahamu ukifika Ilemba unapita kijiji kimojawapo kinaitwa Solola kisha unafika kijiji cha Nankanga ambapo kipo ziwa Rukwa. Sasa naomba kuuliza ulipitia njia gani baada ya kutoka Ilemba maana unasema ulipita vijiji kadhaa? Au kuna njia tofauti siku hizi ya kupita ukishafika Ilemba?Ilikuwa mwanzoni kabisa mwa mwaka 2000 nikiwa nyumbani pamoja na wazazi wangu katika mji mdogo wa tunduma karibu kabisa na shule ya msingi maporomoko.
Sitasahau wakati huo nilikuwa nikiishi na mama wa kambo baada ya kumpoteza mama yangu mzazi .maisha nyumbani yalibadilika ghafla na baba akawa ni mtu wa kulewa na kurudi usiku wa manane.
Ukitoka ilemba unaambaa mashariki kuelekea lumbesa Kisha unakata humo ndani ya msitu Kuna vijiji vidogo wanakaa wasukuma na mifugo Yao na tulikuwa tunaenda Kambi ya kingomaMkuu nikiri wazi kwamba huko nilitoka miaka mingi sana zaidi ya 20, ninavyofahamu ukifika Ilemba unapita kijiji kimojawapo kinaitwa Solola kisha unafika kijiji cha Nankanga ambapo kipo ziwa Rukwa. Sasa naomba kuuliza ulipitia njia gani baada ya kutoka Ilemba maana unasema ulipita vijiji kadhaa? Au kuna njia tofauti siku hizi ya kupita ukishafika Ilemba?