Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duuuuh hatari na nusuMshushe mshushe we mse...e. Nikagundua wale jamaa wako siliasi wanatuuua!! Hapo sauti ikaniambia nijiteteee ! Nikaanza kupiga kelele jamani nisaidieni Mimi sio mwizi ni mwanafunzi nimepewa lifti tu na huyu jamaa hata mm cmjui .lile jamaa lenye roho mbaya likasema hayo maneno utaenda kumwambia yesu kwamba wewe ulikuwa mwanafunzi da!! jamaa yangu
[emoji1787]Huwa wanageuza;
Kiberiti nusu
Sukari moja
Mafuta ya kilo moja
Jamaa ana mambo ya kiwaki sana asee..Mpwayungu muongo sana
Jana alidai yuko Juba south Sudan.Mkuu mpwayungu village nakusalimia.
Yaani unafaa kabisa kuwa mkata umeme😂😂Ulipoamka, ukaliwa na mamba wa ziwa rukwa. Mwisho wa stori na ndio mwisho wa uzi. Au tunaendelea?
mafuta nusu, sukari kimoja, kiberiti robo.Kiberiti kimoja
Sukari nusu
Mafuta robo