econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Imagine kila goli wanalofunga yanga na simba Rais alikuwa anatoa million 5, pesa zote tulizochea kule zingenunua hata gari moja la uokoaji
Shida serikali haina vipaumbele kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine kila goli wanalofunga yanga na simba Rais alikuwa anatoa million 5, pesa zote tulizochea kule zingenunua hata gari moja la uokoaji
😅 😅
Hao wadau ndio mmoja wao alitumwa akabaka binti
Watu wa mogodini wangesafirishwa kuja kuokoa
Daah...ukifikiria mambo ya hii nchi unaweza ukachanganyikiwa asee. Wazungu wana haki ya kutuona sisi manyani kwa kweli.Vifaa Vyote Nchi nzima Havidi Trilion 3..
Kwa supply ya Kila Mkoa..
Ukiangalia Goli la Mama, Malipo Mechi za K.O za Ngumi na Pesa Nyingi zinazotumika Kwenye Vitu visivyo vya Msingi...
Juzi Juzi bunge linaidhinisha Manunuzi ya ndege Nyingine ya Viongozi inayocost Bilions of Money..
Bajeti ya Mwaka huu inakaribia trilion 40 kwanini Tusitumia trilion 3 Kuboresha Jeshi linaloweza Kuokoa Maisha?
Ni ujinga tu. Hawajui ccm bila dola ni sawa na TLP tu.Swali la kijinga Sana. Marekani wamemtoa democrat wakampa nani? Au Botswana wamemtoa BDP wamempa nani?. Maswali ya kijinga Sana kutoka kwa chawa wa CCM
Hili Jeshi la Zimamoto halifai Wengi ni waoga Sana kufanya Uokoaji Wamezoea Luxury sana..
Unaposema kusiwe na Jeshi la akiba unamaanisha nini?
JKT sio Jeshi la Akiba..
Jeshi la Akiba Ni Mgambo na Mgambo wanaruhusiwa
Makomandoo SI all terrain, all weather....??Sidhani Kama Wana hayo mafunzo.
Very well said chiefKukaa sana kwa amani tunalewa sio polisi, uhamiaji, JW au wapi tuko vizuri. Tatizo ni kukaa na imani kwamba jeshi ni kwa a gharama kubwa wanayo, vifaa vya uwezo zaidi wanavyo.
Sasa bongo bajeti kama hiyo haitengwi.
Sisi tunaweza kuzalisha machawa tu baaaaas.Mimi ni mshabiki namba moja wa Israel, ila nimeguswa na tukio la kuanguka kwa Jengo Kariakoo, Jitihada tuliyoweka katika uokozi ni aibu kwetu hasa sisi Watanzania tunaomini sio Nyani.
Gaza kwao kuanguka kwa majengo ni kila siku tena kwa mabomu na sio uzembe, lakini Watu wake na mifumo yao ya uokozi imepunguza Idadi ya vifo hadi 40, 000 pekee, Kama sisi Jengo moja tumetumia siku 2 na bado hatujamaliza, basi kwenye Majanga makubwa ya Vita au asili tunaweza kupoteza watu zaidi ya laki moja kwa wiki,
Ifike hatua tuiwajibishe serikali ya CCM kwa kuiweka pembeni tuanze upya, ni aibu kuona viongozi wa Serikali wanaenda eneo la maafa na magari ya zaidi ya billioni 3 alafu wanashindwa kuwa na vifaa vya uokozi visivyozidi billion 1.
Liko vizuri kwenye uokoaji,alafu hapo hapo unadai tatizo ni vifaa sasa uzuri uko wapi ikiwa nyezo za Kazi huna ?Jeshi la zimamoto lipo vizuri tu kwenye uokoaji tatizo ni vifaa tu.
Wapeni vifaa muone ubora wao.Li
Liko vizuri kwenye uokoaji,alafu hapo hapo unadai tatizo ni vifaa sasa uzuri uko wapi ikiwa nyezo za Kazi huna ?
Mkuu umeandika vitu deep sana, hata mimi nimepata elimu hapaKukaa sana kwa amani tunalewa sio polisi, uhamiaji, JW au wapi tuko vizuri. Tatizo ni kukaa na imani kwamba jeshi ni kwa ajili ya vita tu, zana (sio silaha) za kijeshi zina dual use ukiwa nazo zitatumika sana kwa civilians kuliko mara moja kwa miaka kadhaa usubiri vita.
Wapeni vifaa muone ubora wao.
[/QUOTE
Hili swali lako jibu analo Waziri mkuu,Mzee wa kuunda tume na kufanya uzinduzi wa gereza.
Sawa ni ya kijinga ila CHADOMO hamupat ng'ooooooSwali la kijinga Sana. Marekani wamemtoa democrat wakampa nani? Au Botswana wamemtoa BDP wamempa nani?. Maswali ya kijinga Sana kutoka kwa chawa wa CCM