Yaliyotokea Kariakoo ni ukumbusho kuwa Amani hulevya Ujinga

Yaliyotokea Kariakoo ni ukumbusho kuwa Amani hulevya Ujinga

Sijui, Mimi nawaza TU. Hao wahanga humo kwenye kifusi wanatuma meseji zinaumiza sana mno... Nazisoma machozi yanatoka....
Message zao zinaumiza Sana Kwa kweli!
 
  • Thanks
Reactions: rr4
Kukaa sana kwa amani tunalewa sio polisi, uhamiaji, JW au wapi tuko vizuri. Tatizo ni kukaa na imani kwamba jeshi ni kwa ajili ya vita tu, zana (sio silaha) za kijeshi zina dual use ukiwa nazo zitatumika sana kwa civilians kuliko mara moja kwa miaka kadhaa usubiri vita.

Jana nimeona mabasi ya JWTZ yamejaza wanajeshi wakashuka mikono mitupu, sanasana walichosaidia ni kusogeza watu pembeni ili magari ya wagonjwa na viongozi wapite. Jambo ambalo mgambo anaweza.

Nchi zenye majeshi yenye bajeti, zilizokaa chonjo unakuta military ina search and rescue helicopters kadhaa za nchi kavu na majini, ikitokea mafuriko au meli kuzama wanajeshi wanawahi. Kule Bukoba ajari ya ndege tungeona Navy wanatumia ujuzi wao kama wangekuwa na small base Bukoba au Mwanza, badala yake wavaa yeboyebo kina Majaliwa ndio walionekana.
Hizohizo helicopters zinatumika kuzima moto mkubwa ukiwaka mjini, au milimani kama Kilimanjaro kule moto huwaka mara nyingi.

Hapa kwenye hili jengo tungeona Engineering Brigade ambayo imefundishwa vitu kama kutengeneza airstrip ya haraka wakati wa vita, kurekebisha barabara na madaraja kama Bailey bridge, kuwa na floating piers kusafirisha mizigo ya dharura kwenye mito, kujenga base kwa haraka, kufanya demolition au kuokoa kama strategic factories, buildings zimeharibiwa na adui.

Ingekuwa hivyo tungeona jeshi wanafika na zana zao wanafanya kazi kwa haraka na kwa ufanisi zaidi maana discipline ya kuwa haraka wanakuwa nayo, mafunzo ya gharama kubwa wanayo, vifaa vya uwezo zaidi wanavyo.
Sasa bongo bajeti kama hiyo haitengwi.
Wanajeshi wenyewe wanavyopatikana kimagumashi,watu wanafuata mshahara tuu,mangine kazi iendelee,kwa mfano huyo Bibi aliefuata Per Diem ni tatizo kubwa sana kwa sasa,unaendaje Kwa wakora na wauza dawa za kulevya duniani huko Brazil na kuacha wahanga kwenye mashimo ya kkoo
 
Vichwa nazi
Wanashindwa kutatua ajali za barabarani
Yaani kuna wakati unasema wazungu wana haki ya kututukana na hapo hapo kutupa misaada maana huwa wanatuona hatuna akili kabisa
Sasa wewe waza Kuna huyo Yuko sijui Brazil....
Sasa kule akaulizwa TU na hao wakubwa How is Tanzania Madam President..... ( Maana mimi sijui wanavyoulizanaga!!)
ATAJIBUJE???????
Kwamba nimeacha Kuna mjumba umeanguka , watu wamenasa siku ya pili Leo (Leo..hatujui kesho na keshokutwa) na wengine wametangulia mbele za haki??? But it's not a big deal let's talk about mnikopeshe.. loan... grants... N.k
Sijui lakini, najaribu kuwaza.
 
Sasa wewe waza Kuna huyo Yuko sijui Brazil....
Sasa kule akaulizwa TU na hao wakubwa How is Tanzania Madam President..... ( Maana mimi sijui wanavyoulizanaga!!)
ATAJIBUJE???????
Kwamba nimeacha Kuna mjumba umeanguka , watu wamenasa siku ya pili Leo (Leo..hatujui kesho na keshokutwa) na wengine wametangulia mbele za haki??? But it's not a big deal let's talk about mnikopeshe.. loan... grants... N.k
Sijui lakini, najaribu kuwaza.
Huwa wanachukulia vitu simple sana viongozi wetu
Kuna maraisi huwa hawasemi kuna makamu wangu wala nini
Wengine najua walikatisha holiday zao na kwenda kwenye majanga yalipotokea
 
Kwangu mimi naona Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Livunjwe..
Na JKT chini ya Jeshi la wanachi Liwe Jeshi Rasmi na Iondolewe kwenyr Militia..
Baada ya Hapo Bajeti iliyokuwa Ikipelekwa Kwenye zimamoto Ihamishiwe Wizara ya ulinzi..
Na Moja kwa moja JKT iruhusiwe Kurecruit Wanajeshi...

Ukiangalia waliojenga Msovera ni JKT...Ukuta wa Mererani Ni JKT vitu vyote hufanya wao kwanini Sasa Tusivunje tu Hii ZIMAMOTO na Rasmi.Jukumu Liende kwa JKT
CAG mwaka jana alisema jeshi la zimamoto lilionekana lina upungufu 91% katika zana za utendaji kazi.

Sasa kama yale majizi yanayotajwa kukwapua vitita na hayachukuliwi hatua hata mwaka mmoja baadae ripoti ya CAG usikute ilionekana kama gazeti la udaku.

Halafu 2021 account ya zimamoto ilipitisha malipo batili.


Hao hao zimamoto 2020 akina Thobias Andengenye waliingia mkataba kufanya manunuzi ya Trilion 1 vifaa vya zimamoto ila mkataba ulikuwa batili na hadi leo vifaa havipo na waliishia kuondolewa ofisi hiyo kuzawadiwa vyeo ofisi nyingine.

IMG_20241117_164400.jpg
 
Yaani hilo balaa kama la Gaza kwetu tuombe lituepuke kwa sababu ikitokea jengo limepigwa bomu basi nyie mliofukiwa mjihesabu mmekufa hamtomuona mtu kuja kushughulika na nyie.
Hapa kwetu tukivamiwa na adui ndani ya saa 24 adui keshajichukulia nchi kiubwete kabisa tulivyokuwa waoga wa kufa utafikiri tutaishi milele ndiyo maana hata hawa vibwengo wanatutesa watakavyo kwa sababu wanajua Wabongo ni waoga sana.
Kuna haja ya elimu ya uokoaji, elimu ya first aid na elimu ya self defense kusomeshwa mashuleni tangu nursery.
Tumekaa kizembe Sana
 
Hivi makomandoo wetu hawaezi kupenya penya kama miners taratibu kwa kutambaa na vifaa vidogo vidogo kama vya wachimbaji wadogo wadogo wa madini..... Taratibu sana kupenya kama nyoka.....
Sijui lakini... Nawaza TU. SI kwa ubaya
Eti kupenya penya haaaa hio haina formula wao wanapenya kwenye kundi la watu wasio na silaha ila sio hapo
 
Dah. Inasikitisha sana. Maana mahali kama hapa ndio pa kuonyesha weledi.
Kuna mwamba namuona huko mitandaoni Jana kapenyapenya katoa watano. Kuamkia Leo saa sita ya usiku ameenda huko mpaka alfajiri katoa wengine watatu. Na ni msela TU wa huko mtaani, ,,Sasa unaona!!!!
Hapo hata kumpa kazi hawampi
 
Hi nchi hata tukimpa CHAUMA na wewe ukawa raisi hakuna kitu utafanya tukakupongeza
 
Tatizo ni priorities sio gharama. Kununua helicopters za kama 7 ambazo ni multirole ikitokea moto zinazima, ikitokea airlifting ya waliozama kwenye boti au kuwawahishia maboya wakati wanasubiri meli za uokoaji zinafanya, kubeba wanajeshi wakaokoe mateka zinafanya, kubeba misaada kwenye mafuriko na kuokoa watu, ku sio kuvunja kabati hata sasa tunazo Airbus mpya naziona zikiongezwa chache na mafunzo juu zitasaidia.

Zana nyingine hapo hazina gharama kubwa na zinatumika makampuni ya ujenzi ila zinakuwa in military version. Mfano Israel demolition zao na kulipua improvised explosive devices njiani wanatumia Caterpillar D9 bulldozer ila za kwao ni armoured. Sasa mhandisi gani bongo haijui CAT D9
Tuikumbushe serikali juu ya hili ila sio kama watu wanavojadili kama wangekuwepo sujui nani wangefanya hivi au lile jamani uokoz ni professionals make mistake hakuna mwanajeshi kwakua tu kavaa uniform akaperfom role ya uokozi unless ndani ya jeshi namanisha jwtz na vitengo vyake kuwe na hyo equipped department sasa tukija wenye kaz yao wao hawana vifaa sasa hapa ndio pa kuikalia serikali kooni
 
Mimi ni mshabiki namba moja wa Israel, ila nimeguswa na tukio la kuanguka kwa Jengo Kariakoo, Jitihada tuliyoweka katika uokozi ni aibu kwetu hasa sisi Watanzania tunaomini sio Nyani.

Gaza kwao kuanguka kwa majengo ni kila siku tena kwa mabomu na sio uzembe, lakini Watu wake na mifumo yao ya uokozi imepunguza Idadi ya vifo hadi 40, 000 pekee, Kama sisi Jengo moja tumetumia siku 2 na bado hatujamaliza, basi kwenye Majanga makubwa ya Vita au asili tunaweza kupoteza watu zaidi ya laki moja kwa wiki,

Ifike hatua tuiwajibishe serikali ya CCM kwa kuiweka pembeni tuanze upya, ni aibu kuona viongozi wa Serikali wanaenda eneo la maafa na magari ya zaidi ya billioni 3 alafu wanashindwa kuwa na vifaa vya uokozi visivyozidi billion 1.
Inasikitisha sana,tuna safari ndefu
 
Mimi ni mshabiki namba moja wa Israel, ila nimeguswa na tukio la kuanguka kwa Jengo Kariakoo, Jitihada tuliyoweka katika uokozi ni aibu kwetu hasa sisi Watanzania tunaomini sio Nyani.

Gaza kwao kuanguka kwa majengo ni kila siku tena kwa mabomu na sio uzembe, lakini Watu wake na mifumo yao ya uokozi imepunguza Idadi ya vifo hadi 40, 000 pekee, Kama sisi Jengo moja tumetumia siku 2 na bado hatujamaliza, basi kwenye Majanga makubwa ya Vita au asili tunaweza kupoteza watu zaidi ya laki moja kwa wiki,

Ifike hatua tuiwajibishe serikali ya CCM kwa kuiweka pembeni tuanze upya, ni aibu kuona viongozi wa Serikali wanaenda eneo la maafa na magari ya zaidi ya billioni 3 alafu wanashindwa kuwa na vifaa vya uokozi visivyozidi billion 1.
Una uhakika walikufa Gaza ni elfu 40 tu au hao ndio waliotangazwa? Ikitamgazwa idadi halisi tutakimbiana.
 
Mimi ni mshabiki namba moja wa Israel, ila nimeguswa na tukio la kuanguka kwa Jengo Kariakoo, Jitihada tuliyoweka katika uokozi ni aibu kwetu hasa sisi Watanzania tunaomini sio Nyani.

Gaza kwao kuanguka kwa majengo ni kila siku tena kwa mabomu na sio uzembe, lakini Watu wake na mifumo yao ya uokozi imepunguza Idadi ya vifo hadi 40, 000 pekee, Kama sisi Jengo moja tumetumia siku 2 na bado hatujamaliza, basi kwenye Majanga makubwa ya Vita au asili tunaweza kupoteza watu zaidi ya laki moja kwa wiki,

Ifike hatua tuiwajibishe serikali ya CCM kwa kuiweka pembeni tuanze upya, ni aibu kuona viongozi wa Serikali wanaenda eneo la maafa na magari ya zaidi ya billioni 3 alafu wanashindwa kuwa na vifaa vya uokozi visivyozidi billion 1.
Serikali ya hovyo sana eti mawaziri wameenda pale kuokoa 😁😁😁 wakaa tena wamekunja nne na posho watapeana. Ccm ikae tu pembeni zije akili mpya
 
Dah. Inasikitisha sana. Maana mahali kama hapa ndio pa kuonyesha weledi.
Kuna mwamba namuona huko mitandaoni Jana kapenyapenya katoa watano. Kuamkia Leo saa sita ya usiku ameenda huko mpaka alfajiri katoa wengine watatu. Na ni msela TU wa huko mtaani, ,,Sasa unaona!!!!
Hapo utakuta mwamba hata pewa sifa zake au wamtumie kisiasa za ccm.
 
Back
Top Bottom