Yaliyotokea Kariakoo ni ukumbusho kuwa Amani hulevya Ujinga

Daah...ukifikiria mambo ya hii nchi unaweza ukachanganyikiwa asee. Wazungu wana haki ya kutuona sisi manyani kwa kweli.
 
Swali la kijinga Sana. Marekani wamemtoa democrat wakampa nani? Au Botswana wamemtoa BDP wamempa nani?. Maswali ya kijinga Sana kutoka kwa chawa wa CCM
Ni ujinga tu. Hawajui ccm bila dola ni sawa na TLP tu.
 
Kukaa sana kwa amani tunalewa sio polisi, uhamiaji, JW au wapi tuko vizuri. Tatizo ni kukaa na imani kwamba jeshi ni kwa a gharama kubwa wanayo, vifaa vya uwezo zaidi wanavyo.
Sasa bongo bajeti kama hiyo haitengwi.
Very well said chief
 
Sisi tunaweza kuzalisha machawa tu baaaaas.
 
Watu wenye akili walisha waambia waafrika hasa weusi kuwa hamuwezi kujitawala,rejea hotuba ya Botha.

Mtu mweusi kwa matendo yake ni ishara ya udumavu wa akili na uwezo wa kifikra katika kutenda na kuamua.
 
Wale Mkomandoo wa kupasua tofali kifuani wapo wapi kwenye uokoaji?
 
Mkuu umeandika vitu deep sana, hata mimi nimepata elimu hapa
 
Swali la kijinga Sana. Marekani wamemtoa democrat wakampa nani? Au Botswana wamemtoa BDP wamempa nani?. Maswali ya kijinga Sana kutoka kwa chawa wa CCM
Sawa ni ya kijinga ila CHADOMO hamupat ng'oooooo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…