Yaliyotokea kwa ACT Wazalendo kwenye chaguzi Ujiji kwa Polisi kuilinda CCM kuiba kura, 2024/25 yanawasubiri CHADEMA, mtafanya nini yakitokea?

Yaliyotokea kwa ACT Wazalendo kwenye chaguzi Ujiji kwa Polisi kuilinda CCM kuiba kura, 2024/25 yanawasubiri CHADEMA, mtafanya nini yakitokea?

Kama CHADEMA mmeamua kushiriki chaguzi zijazo, 2024/25, mjue for sure yale yale yaliyotokea 2020 yatatokea tena maana jana yametokea Ujiji Kigoma kwa ACT Wazalendo (ingawa ACT ni tawi la CCM ie (CCM vs ccm) kwa kukamata kura za wizi na polisi kuwakingia kifua CCM kwa kuwakamata viongozi wa ACT kuwafunga walipoingilia kati kuzuia wizi huo wa kura wa CCM.

BY HOOKS AND CROOKS LAZIMA CCM IFANYA YALE YALE YA 2020 MAANA WAMEANZA KIGOMA JANA.

MMEJIANDAAJE NA HUJUMA HIZO? MNA UWEZO WA KUKABILIANA NA POLISI? IF SO HOW?
Wewe uko upande gani? unaongea kana kwamba Wanao komoleka ni CDM, mfano Mbowe ana maisha yake, mbowe ametoka familia ya waao jiweza, uliza kule Moshi.
 
John, huwa huna akili hata kidogo. Uchawa umekuzidi....... If that is the case, kwanini mnakataa ume huru? Washeikh, Maaskofu NGOs na woooooooooooooooooooooooote wamependekeza tume huru, ni nyinyi tu mnaikataa, WHY? KAMA SIYO WOGA WA KUNGATULIWA MADARAKANI?
Hata Ufalme wa mbinguni Wenye nguvu Ndio wanautwaa

Usitegemee kuletewa Tume Huru bwashee Itafute mwenyewe
 
Hivi katiba ikipatikana CCM ndiyo wataacha kuiba kura?
Mbona kipindi cha mwendazake katiba haikufuatwa na hakuna hatua zozote alizochukuliwa.
Tatizo mnafikiri ni jukumu la Chadema kudai katiba hivi kama wananchi hawaitaji katiba chadema wafanye nini?
Nchi yetu bado inatakiwa kuendelea na mfumo wa chama kimoja mpaka wananchi tutakapoamka
Demokrasia ya Wazungu imeshindikana hapa !!
 
relax bas na utoe hoja taratibu na kwa staha...

nachokiona ni muhemko na ghadhabu tu....

kua muungwana tu kama binadamu kwamba vitu fulani huna...
Ungekua unajali ubinadamu usingeshabikia binadamu mwenzako kuuliwa,kutekwa etc etc na kuwa mbali na familia yake,serikali ya ccm imefanya hayo na inashabikiwa na wapumbavu kama wewe,Nkanini anaongea as its
 
Kama CCM wataamua kuiba na kulindwa na bunduki za polisi Chadema watafanya nini?

Kama kipo watachofanya ni kujitoa mhanga, wawe tayari kupata majeraha au hata kuumizwa zaidi kuipigania haki yao.

Walishindwa kuhimiza upatikanaji wa Katiba Mpya kwa wakati, wakadanganywa na maridhiano, walivyoshtuka maridhiano ni kupotezeana muda wakaona wadai Tume Huru, lakini nayo wamekuja kuona haiwezi kupatikana wakaamua kuingia kwenye uchaguzi kwa sheria mbovu zilizopo.

Wakiamini watajilinda au watalindwa na wapiga kura wao, hii kamari waliyoamua kuicheza inataka moyo, inawalazimu wawe tayari kwa lolote kwasababu kati yetu hayupo asiyezijua tabia za CCM kwenye uchaguzi, hawawezi kubadilika kisa Samia yupo madarakani.
Hapa bila ya Niger or Burkina Faso style hamna kitu!
Tukubaliane na hiyo hali tuu kuwa itokee kisha ndio itasafisha uvundo wote na kuanza upya.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Ungekua unajali ubinadamu usingeshabikia binadamu mwenzako kuuliwa,kutekwa etc etc na kuwa mbali na familia yake,serikali ya ccm imefanya hayo na inashabikiwa na wapumbavu kama wewe,Nkanini anaongea as its
bado unakosa Utulivu, relax mkuu 🐒

hizi mambo hazitaki hasira wala mihemko ya kuruka huku na kudandia kule utapasua moyo mkuu 🐒

funguka yote upate relief ikusaidie kua na utaratibu wa kuwasilisha au kuchangia hoja 🐒

hata hivyo,
CCM haiwezi kubabaika na mihemko ya nyumbu yoyote hususan kwenye chaguzi 🐒

haita muonea haya wala aibu mpinzani yeyote tangu kampeni hadi kwenye kura. kwasababu ccm ina dhamira na makusudio ya kushika dola kuunda serikali na kuwatumikia wanainchi, malalamiko na mihemko ibaki kwa wenyewe 🐒

Ukweli usemwe, CCM itashinda tu, na sasa wapinzani ndio kama wew wa risasi moja tu 🤣
 
🤪🤪🤪🤪🤪🤪🤣🤣🤣🤣 zaidi mtakimbia nchi kuwa mmetishiwa kubakwa!
Hawa polisi mnaowategemea hawajaongezwa mshahara kwa miaka 8 sasa , wameahidi hawatatumikishwa tena , tunao kwenye maandamano bega kwa bega .

Screenshot_2024-02-20-17-45-58-1.png
 
Hii yakwako ni verified.
Anajiita Masawe huku kwao ni Geita ! anaficha jina lake ili iweje ? halafu ni vile tu jf inasitiri watu lakini namfahamu kwa majina yote matatu likiwemo na la Bibi yake mzaa mama
 
Kama CHADEMA mmeamua kushiriki chaguzi zijazo, 2024/25, mjue for sure yale yale yaliyotokea 2020 yatatokea tena maana jana yametokea Ujiji Kigoma kwa ACT Wazalendo (ingawa ACT ni tawi la CCM ie (CCM vs ccm) kwa kukamata kura za wizi na polisi kuwakingia kifua CCM kwa kuwakamata viongozi wa ACT kuwafunga walipoingilia kati kuzuia wizi huo wa kura wa CCM.

BY HOOKS AND CROOKS LAZIMA CCM IFANYA YALE YALE YA 2020 MAANA WAMEANZA KIGOMA JANA.

MMEJIANDAAJE NA HUJUMA HIZO? MNA UWEZO WA KUKABILIANA NA POLISI? IF SO HOW?
Chadema na hao wapinzani wengine wanafikiri kura hupigwa kwenye mitandao ya kijamii.
Ukweli mchungu kwao CCM imejikita sana vijijini huko.Sasa hivi hata mijini watu hawafuatilii masuala ya siasa za upinzani.Watu tuko kwenye mambo ya Simba na Yanga.
 
Chadema na hao wapinzani wengine wanafikiri kura hupigwa kwenye mitandao ya kijamii.
Ukweli mchungu kwao CCM imejikita sana vijijini huko.Sasa hivi hata mijini watu hawafuatilii masuala ya siasa za upinzani.Watu tuko kwenye mambo ya Simba na Yanga.
Fine, weka tume huru basi, then utakuwa umekata mzizi wa fitina..... as long as hakuna tume huru, ote unayoyasema uwezi kuyathibitisha.......all go by the trench!

CCM mnaogopa nini kuweka ume huru? Yaliyofanyka 2020 unayasemaje? Nipe maoni yako
 
Chadema na hao wapinzani wengine wanafikiri kura hupigwa kwenye mitandao ya kijamii.
Ukweli mchungu kwao CCM imejikita sana vijijini huko.Sasa hivi hata mijini watu hawafuatilii masuala ya siasa za upinzani.Watu tuko kwenye mambo ya Simba na Yanga.
Vijiji gani hivyo ccm ilipojikita, maana hata Sasa vijana huko vijijini wanavaa suruali za chini ya makalio, na vijana sio kizazi Cha ccm, Sasa huko kujikita ni kwa wazee tu ama?
 
Back
Top Bottom