Yaliyotokea kwa ACT Wazalendo kwenye chaguzi Ujiji kwa Polisi kuilinda CCM kuiba kura, 2024/25 yanawasubiri CHADEMA, mtafanya nini yakitokea?

Yaliyotokea kwa ACT Wazalendo kwenye chaguzi Ujiji kwa Polisi kuilinda CCM kuiba kura, 2024/25 yanawasubiri CHADEMA, mtafanya nini yakitokea?

Very well-written thinking and analysis.

Nawashauri wawatayarishe wafuasi wao KUFA MSALABANI. Wajitayarishe kwa maumivu makali ambayo mwisho wake unaweza kuwa kifo kulinda kura zao

Kama kujitayarisha kufa,
1. Target No. 1 ya CCM kuua itakuwa Mbowe!
2. Target No. 2 itakuwa Lisu
3. Target No. 3 Wenyeviti wa majimbo..Lema, msigwa and the like.
4. Target No. 4 itakwa wenyeviti wa mikoa ........and the isy goes down to the root!

FOR SURE CCM WAKO TAYARI KWA LOLOTE AS LONG AS WASHINDE UCHAGUZI

JE WAKO/TUKO TAYARI KUFA? WAFUASI WAO TUKO TAYARI KUFA? /WANANCHI WAKO TAYARI KUFA?
Erythrocyte
Kwa upande mwingine naona kama CCM wanajua nini watakachofanya, ujue haya mambo ya uchaguzi wakati mwingine ni kucheza na akili za wapiga kura tu, na bahati mbaya CCM tayari wanazifahamu akili zetu.

Nachoona kitachoenda kutokea kwenye chaguzi mbili kubwa zijazo, haitakuwa CCM watapora complete kama ilivyokuwa 2020, No!, watachofanya this time ....

Huko majimboni, watahakikisha wanagawana majimbo yale yenye ushawishi na upinzani, hasa Chadema.

Mfano, kama Chadema itashinda Arusha Mjini, basi sitashangaa CCM kulazimisha washinde Moshi Mjini, kama Chadema itashinda Iringa Mjini, basi sitashangaa CCM kulazimisha washinde Mbeya Mjini hata kama kura zao hazitoshi.

Ile maana ya nusu mkate ambayo alikuwa anaipinga Lissu huku baadhi ya wapinzani wengine wakiifurahia ndio itakwenda kutokea hapa, unapewa hapa, unanyimwa pale hata kama ulistahili, then unakosa mandate ya kudai umeibiwa, ukilalamika watakujibu mbona pale mmeshinda kwa tume hii!, mchezo unaishia hapo.

Na wala sio ile nusu mkate wapinzani wanadhani watapewa tu majimbo yote wanayokubalika ilimradi CCM irudi ikulu, No, hii nusu mkate itagawanywa kote hata hadi majimboni, Samia ataambiwa na CCM wenzake mama wewe tulia pale utazame mchezo..

Huu mchezo utachezwa ili kuepusha kelele nyingi za tumeibiwa kama ilivyokuwa 2020. This time itakuwa mnapewa nusu, mnatuachia nusu mpende au msipende.

So, at the end of the day itakuwa aliyepata amepata, na aliyekosa amekosa, maisha yanaendelea...
 
Kama CHADEMA mmeamua kushiriki chaguzi zijazo, 2024/25, mjue for sure yale yale yaliyotokea 2020 yatatokea tena maana jana yametokea Ujiji Kigoma kwa ACT Wazalendo (ingawa ACT ni tawi la CCM ie (CCM vs ccm) kwa kukamata kura za wizi na polisi kuwakingia kifua CCM kwa kuwakamata viongozi wa ACT kuwafunga walipoingilia kati kuzuia wizi huo wa kura wa CCM.

BY HOOKS AND CROOKS LAZIMA CCM IFANYA YALE YALE YA 2020 MAANA WAMEANZA KIGOMA JANA.

MMEJIANDAAJE NA HUJUMA HIZO? MNA UWEZO WA KUKABILIANA NA POLISI? IF SO HOW?
Naunga mkono wizi wa kura.
 
Tena ilitakiwa wawatandike marungu, unalalamika kuibiwa wakati mwizi unamjua.
 
Dawa ni vyama vya upinzani kujitoa kwenye uchaguzi na kuunda rebel movement. Tuingie msituni tu.
 
Kwa upande mwingine naona kama CCM wanajua nini watakachofanya, ujue haya mambo ya uchaguzi wakati mwingine ni kucheza na akili za wapiga kura tu, na bahati mbaya CCM tayari wanazifahamu akili zetu.

Nachoona kitachoenda kutokea kwenye chaguzi mbili kubwa zijazo, haitakuwa CCM watapora complete kama ilivyokuwa 2020, No!, watachofanya this time ....

Huko majimboni, watahakikisha wanagawana majimbo yale yenye ushawishi na upinzani, hasa Chadema.

Mfano, kama Chadema itashinda Arusha Mjini, basi sitashangaa CCM kulazimisha washinde Moshi Mjini, kama Chadema itashinda Iringa Mjini, basi sitashangaa CCM kulazimisha washinde Mbeya Mjini hata kama kura zao hazitoshi.

Ile maana ya nusu mkate ambayo alikuwa anaipinga Lissu huku baadhi ya wapinzani wengine wakiifurahia ndio itakwenda kutokea hapa, unapewa hapa, unanyimwa pale hata kama ulistahili, then unakosa mandate ya kudai umeibiwa, ukilalamika watakujibu mbona pale mmeshinda kwa tume hii!, mchezo unaishia hapo.

Na wala sio ile nusu mkate wapinzani wanadhani watapewa tu majimbo yote wanayokubalika ilimradi CCM irudi ikulu, No, hii nusu mkate itagawanywa kote hata hadi majimboni, Samia ataambiwa na CCM wenzake mama wewe tulia pale utazame mchezo..

Huu mchezo utachezwa ili kuepusha kelele nyingi za tumeibiwa kama ilivyokuwa 2020. This time itakuwa mnapewa nusu, mnatuachia nusu mpende au msipende.

So, at the end of the day itakuwa aliyepata amepata, na aliyekosa amekosa, maisha yanaendelea...
Bwashee ile kitu Chadema walifanyia Julius Mtatiro 2015 jimboni Segerea ndio itawakuta na wao

CCM majimboni hawakubali kabisa habari za Nusu mkate na hakuna wa kuwalazimisha

Ndio sababu Sugu atagombea Makete 😂🔥
 
demokrasia ni mambo ya kuhuni na ulaghai.
wananchi tunasisitizwa kupiga kura na kurudi nyumbani kusubiri matoke.
 
Shida kubwa ya bwana kabwe( licha ya kuondoka Kwa mchongo) ni msalti wenzake wanaongoza mapambano ya kuhakikisha mambo yanawekwa sawa yeye na watu wake wanakwamisha..
Note: kwenye siasa hakuna urafiki zito na viongozi wake walijue hili..
CCM huwa hawana fadhila !
Tenda wema uende zako !!
 
Bwashee ile kitu Chadema walifanyia Julius Mtatiro 2015 jimboni Segerea ndio itawakuta na wao

CCM majimboni hawakubali kabisa habari za Nusu mkate na hakuna wa kuwalazimisha

Ndio sababu Sugu atagombea Makete 😂🔥
No way Nusu mkate ni lazima watapewa wale ambao wanaogopewa kwa influence zao kwa wapiga kura !!

Kwani majimbo ndiyo yanayotangaza matokeo au ni just mukubwa mmoja aliyepewa mamlaka hayo ?!
Na sioni anawezaje kukaidi agizo 😅🙏🙏
 
Back
Top Bottom