Wenye wako open minded watakuwa wameshajua hiko ni nini...Hiyo ring gear, siwezi kuwaambia ya nini Ila NI Ring gear, muulizeni Marekani, pumbavu sana jamaa wale.
Kuna siku walimwambia Austria wanapitisha ndege ya mizigo kwenye anga lao jamaa wakaruhusu, wakati jamaa wanapita Austria wakapata mashaka wakarusha jet juu wakakuta ni fuel tanker na juu yake kuna stealth fighter mbili kudadeki, mgogoro wa kidiplomasia ukazuka.
Mambo ya space technology,hata kesho majibu hamtapata na hivyo huenda visiwe hata na utambulisho kuepuka madaiHabari zenu wakuu.
Kuna hiki Chuma kimedondoka kaunti ya Makueni huko Kenya.
Mashuhuda wanasema kilikuwa na mshindo mithili ya Radi.
Kuna maelezo yoyote ya kitaalamu yametolewa?
View attachment 3190012
Habari zenu wakuu.
Kuna hiki Chuma kimedondoka kaunti ya Makueni huko Kenya.
Mashuhuda wanasema kilikuwa na mshindo mithili ya Radi.
Kuna maelezo yoyote ya kitaalamu yametolewa?
View attachment 3190012
Dooooh 🥺Kwa muonekano hiki kimetemgenezwa na binadamu.Tusubiri tutajua tu.kama wakenya wameshindwa kukitambua wawaite wataalamu kutoka udsm wawafafanulie
Ni cha ndege iliyopotea angani miaka ya sabini!Habari zenu wakuu.
Kuna hiki Chuma kimedondoka kaunti ya Makueni huko Kenya.
Mashuhuda wanasema kilikuwa na mshindo mithili ya Radi.
Kuna maelezo yoyote ya kitaalamu yametolewa?
View attachment 3190012
Nimecheka,wewe jamaa!!Mtaalamu wa Space agent amekuja na Yebo
Huoni ana hicho kizibao cha reflector. 😀Nimecheka,wewe jamaa!!
Eti mtaalamu wa space
Nimependa maelezo yako,hasa hapo mwishoniSomo rahisi tu hilo mkuu.
Hauonagi angani miale ya mwanga inaenda kasi na kisha kutoweka?
Hivyo ni vimwondo au mawe yanayokuwa yameachia na kudondoka kwenye sayari za mbali.
Sasa linavyodondoka hutengeneza msuguano wenye kasi kubwa ya ajabu inayopelekea kuwaka moto na kuteketea.
Nadhani Mungu aliweka hizo kanuni kwa ajili ya kutuepusha na mabalaa.
Sipendi unichekavyo🙁
😆😆😆😆Kwa muonekano hiki kimetemgenezwa na binadamu.Tusubiri tutajua tu.kama wakenya wameshindwa kukitambua wawaite wataalamu kutoka udsm wawafafanulie
Imetengenezwa baada ya Chuma kudondokakumbe kenya wana space agency inaitwa KSA? ndo najua leo
Hapana.Imetengenezwa baada ya Chuma kudondoka
Object, a piece or something.