Yamenifika shingoni sijui la kufanya mimi

Wazee wengine nuksi tu kama wote ni wazaz halisi sepa kakae mbali kama ni mama wa kambo basi ndo sababu uzilazimishe kupendwa we kafanze yako wakizeeka hao itakuwa zamu yako kupeta nawe utakuwa umeshika mpini
Nimekuelewa mkuu
 
Sawa ndugu yangu ubarikiwe nimekuelewa mkuu
 
Ahsante sana mkuu ubarikiwe nimekuelewa sana
 
Nilipofikia tu eti tatizo langu liko complicated sana nikaona ni bullshit!

Kama unataka ushauri sema hilo tatizo lako ni nini. Kama huwezi nenda kalale, Pumbafu!
 
Mara nyingi huwa naandika kuwa tatizo namba moja la waafrika ni ujinga...

Pindi waafrika watapoacha kukumbatia ujinga, hakika mambo mengi yatabadilika...

Ndugu mleta mada , acha ujinga...
Wewe una unaundugu na baba yangu hata yeye angeandika kama wewe
 
Wewe utakuwa umenielewa vizur sana mkuu ahsante kwa kunitia moyo pia
 
Hataki kuwasikia ndugu za mama yangu yani yeye ni mtu wa kulaumu sana huwa nasikia anasema et wanamdharau
 
Viashiria havipo kabisa mkuu
 
Nimekuelewa sana mkuu,,,mama yangu ndo huwa anafanyia vitu mpaka nashangaa na kubaki bila majibu,,,naweza nikapika labda nikatumia nyanya za ndani anakuja analalama na kuniambia uwe unanunua za kwako,,,vitu vyake siwezi nikavichukua kirahis bas mimi saiz nshabaki namwambia mungu tu aje anijalie niwe na uwezo wa kuvinunua huenda hiyo kauli ya kusema ninunue vyakwangu utaacha
 
Imenitachi sana hii mkuu,,,kwa sasa mi mwenyewe Napambana kama mungu atajalia sitaki anitolee mahali kabisa maana mi hata nikiona mia yake huwa nahis mtego huu badala ya kufurahia hii baraka toka kwa mzazi
 
Nilipofikia tu eti tatizo langu liko complicated sana nikaona ni bullshit!

Kama unataka ushauri sema hilo tatizo lako ni nini. Kama huwezi nenda kalale, Pumbafu!
Sawa mkuu mimi sio mtu wa kupanic ata siku moja hili unaloliandika ni dogo sana kwangu na najua katika maisha watu kama nyie mpo hahaha kwaiyo tuishi tu ila nashukuru nimekutana na wewe
 
Ushauri mbaya sana huu mkuu.
Sio kila mzazi au mzee ana uelewa wa kukaa na wewe chini mkazungumza hayo yote.
Usikute hayo maongezi akachukulia kama matusi kwake.
Na lazima iwe ivo mkuu hapa utakuwa umeongeza matatizo tu
 
Ahsante mkuu nimeupokea ushauri wako ubarikiwe
 
sherehe sio kitu cha kulalamikia am 30's sijui sherehe yoyote ile mpaka saiv sio basidei mahafari au ndugu yake na hayo
Silalami hata mimi hivi vitu ni vidogo sana kwangu ni sikuwah kuwalaum ila naona wamevuka mipaka ndo mana nahusianisha
 
Mdau kumbe wenye degree ndio mko hivi?

Pole lakini kwa matatizo.
Ulivyohitimu Darasa la Saba ungeendelea na mambo mengine, ungekuwa mbali sana.
Ni mimi sio wote wapo ivo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…